Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 443
- 1,084
Nimeona andiko fulani ila nataka wataalam mnithibitishie inapotokea marubani kusinzia vipi kuhusu usalama wa ndege na abiria Kwa ujumla?
Nimeona andiko fulani ila nataka wataalam mnithibitishie inapotokea marubani kusinzia vipi kuhusu usalama wa ndege na abiria Kwa ujumla?
😁😁😂hio sio bodaboda ndugu
Mkuu nipe elimuUliwahi kusikia kinachoitwa autopilot?
Ndege si boda boda ndugu.
Tusaidiane wakuu nilikomea darasa la pili c
Uliwahi kusikia kinachoitwa autopilot?
Ndege si boda boda ndugu.
Msilete uongo wenu.Auto-pilot haina kikomo na uangalizi?Mjitafakari siyo kujibu tu kwa kutumia magoti.hio sio bodaboda ndugu
Tusaidiane wakuu nilikomea darasa la pili c
🙏Mpeni jibu jamani, hajauliza hapa ndege ni kitu gani japo mnamjibu tu hiyo siyo bodaboda.
Rubani wa ndege ya Pakistan airlines PIA alikutwa akilala fofofo huku akikoroma business class baada ya kumuachia rubani msaidizi aingoze ndege. Ndege iyo ilikuwa inatoka Islamabad kwenda London. Abiria mmoja aliyekuwa business class ambayo ilikuwa na abiria wachache kumpiga picha.Nimeona andiko fulani ila nataka wataalam mnithibitishie inapotokea marubani kusinzia vipi kuhusu usalama wa ndege na abiria Kwa ujumla?View attachment 3057872
Kama ulikaa darasan miaka 2 na hukuelewa kitu unadhan hapa hata wakueleweshe utaelewa?Tusaidiane wakuu nilikomea darasa la pili c
Msilete uongo wenu.Auto-pilot haina kikomo na uangalizi?Mjitafakari siyo kujibu tu kwa kutumia magoti.
Jamaa hajajibiwa swali lake vizuri Autopilot itafanya Landing ama na je hali ya hewa ikiwa mbaya wakati wa kutua Airport watakuwa wanawasiliana na nani na kama kuna Autopilot kuja haja gani ya kuajiri Rubani ?
Mkuu nipe elimu