Katika Awamu Ya Nne Ya Rais Kikwete Hakuna Mwana Chama Yeyote Aliyejitokeza Adharani Kuikosoa Serikali Yake Zaidi Ya Kusifiwa Kua Mchapakazi, Serikali Sikivu, Amejenga Bara Bara Nyingi, Uchumi Umepanda N.K Hakuna Yeyote Aliyewahi Kujitokeza Kuonesha Mapungufu Yake.. Leo Hii Wale Wale Waliokua Wakimsifia Wanatoa Negative Kwake, Kwann Wasingeyatoa Madukuduku Yao Mapema? Kama Sio Unafiki? Magufuli Ajiandae Kukosolewa Na Wanaomsifia Akimaliza Muda Wake.