Nchi 10 Zinazoongoza Kwa Kutembelewa na Watalii Wengi Duniani."International Visitors"

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
68,256
76,880
1.France -89.4 mln
2.Spain-83.7Mln
3.USA-79.3mln.
4.China -65.7mln.
5.Italy -64.5Mln
6.Turkiye-51.2 mln
7.Mexico -45mln
8.Thailand-39.8mln
9.Germany-39.6
10.United Kingdom -39.4mln.

My Take
Tanzania tunapoteza mda kukomaa kwenye Utalii wa wanyama na nature wakati Dunia imehama huko,kama tunaendelea na utopian thinking hatutakuja kuzikaribia hizo Nchi Bora tuwekeze kwenye Kilimo tuu,just imagine tuna struggle kupata watalii 2mln.kwa mwaka.

Nchi za North Africa zinafanya vizuri Kwa sababu ziko jirani na hao ma giants na wenzetu hawana hata Wanyama.Seems Kuna products za Utalii ambazo zinatakiwa sokoni kuliko wanyama pori.

Kwa data za 2023,Nchi za Africa Zinazoongoza Kwa Watalii ni hizi hapa 👇👇

View: https://x.com/AfricaFactsZone/status/1775548980346204221?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1775548980346204221%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=
 
1.France -89.4 mln
2.Spain-83.7Mln
3.USA-79.3mln.
4.China -65.7mln.
5.Italy -64.5Mln
6.Turkiye-51.2 mln
7.Mexico -45mln
8.Thailand-39.8mln
9.Germany-39.6
10.United Kingdom -39.4mln.

My Take
Tanzania tunapoteza mda kukomaa kwenye Utalii maana hatutakuja kuzikaribia hizo Nchi Bora tuwekeze kwenye Kilimo tuu,just imagine tuna struggle kupata watalii 2mln.kwa mwaka.

Nchi za North Africa zinafanya vizuri Kwa sababu ziko jirani na hao ma giants na wenzetu hawana hata Wanyama.Seems Kuna products za Utalii ambazo zinatakiwa sokoni kuliko wanyama pori.
Huna point,
 
1.France -89.4 mln
2.Spain-83.7Mln
3.USA-79.3mln.
4.China -65.7mln.
5.Italy -64.5Mln
6.Turkiye-51.2 mln
7.Mexico -45mln
8.Thailand-39.8mln
9.Germany-39.6
10.United Kingdom -39.4mln.

My Take
Tanzania tunapoteza mda kukomaa kwenye Utalii maana hatutakuja kuzikaribia hizo Nchi Bora tuwekeze kwenye Kilimo tuu,just imagine tuna struggle kupata watalii 2mln.kwa mwaka.

Nchi za North Africa zinafanya vizuri Kwa sababu ziko jirani na hao ma giants na wenzetu hawana hata Wanyama.Seems Kuna products za Utalii ambazo zinatakiwa sokoni kuliko wanyama pori.
Waafrica bado tuna mindset za kusema wazungu wanapenda mapori na wanyama

Ilihali utalii mkubwa upo kwene
Miji mikubwa
Starehe na bata
Utalii wa ngono
Utalii kwa ajili ya Gamble/kamari

Hizo nchi zote utalii wake hautokani na wanyama wala mapori ni bata na sehemu za kuvutia
 
Waafrica bado tuna mindset za kusema wazungu wanapenda mapori na wanyama

Ilihali utalii mkubwa upo kwene
Miji mikubwa
Starehe na bata
Utalii wa ngono
Utalii kwa ajili ya Gamble/kamari

Hizo nchi zote utalii wake hautokani na wanyama wala mapori ni bata na sehemu za kuvutia
Pia kukuza Uchumi ndio iwe focus hivyo watu wanatembeleana Kibiashara.

Mambo ya kenge yalishapitwa na wakati.
 
wazungu hawapigi kavuu
FB_IMG_1740574843577.jpg
 
1.France -89.4 mln
2.Spain-83.7Mln
3.USA-79.3mln.
4.China -65.7mln.
5.Italy -64.5Mln
6.Turkiye-51.2 mln
7.Mexico -45mln
8.Thailand-39.8mln
9.Germany-39.6
10.United Kingdom -39.4mln.

My Take
Tanzania tunapoteza mda kukomaa kwenye Utalii maana hatutakuja kuzikaribia hizo Nchi Bora tuwekeze kwenye Kilimo tuu,just imagine tuna struggle kupata watalii 2mln.kwa mwaka.

Nchi za North Africa zinafanya vizuri Kwa sababu ziko jirani na hao ma giants na wenzetu hawana hata Wanyama.Seems Kuna products za Utalii ambazo zinatakiwa sokoni kuliko wanyama pori.
Royal Tour iko wapi Mkuu?
 
Waafrica bado tuna mindset za kusema wazungu wanapenda mapori na wanyama

Ilihali utalii mkubwa upo kwene
Miji mikubwa
Starehe na bata
Utalii wa ngono
Utalii kwa ajili ya Gamble/kamari

Hizo nchi zote utalii wake hautokani na wanyama wala mapori ni bata na sehemu za kuvutia
Morocco nayo ina watalii wengi sana aisee!
 
Waafrica bado tuna mindset za kusema wazungu wanapenda mapori na wanyama

Ilihali utalii mkubwa upo kwene
Miji mikubwa
Starehe na bata
Utalii wa ngono
Utalii kwa ajili ya Gamble/kamari

Hizo nchi zote utalii wake hautokani na wanyama wala mapori ni bata na sehemu za kuvutia
Sasa kwa akiri yako, tunaweza kuwa na miji na starehe kushindana na hao jamaa?
 
Yaani Wahadzabe na wamasai ndio waingize pato
Nyie mtakuja zinduka baadae sana
Pembezoni mwa bahari unakuta watu wanajisaidia

Wakati kuna nchi za kiarabu nimeona wamefukia sehemu za pembezoni mwa bahari na kuweka mahoteli ya kufa mtu
Kila aina ya vyakula
Q8 wana zaidi ya maili kwa ajili ya watalii na wanafakamia haswa
 
Back
Top Bottom