Dunia yakoo
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 139
- 214
KUNA NCHI NAITAFUTA INAPATIKANA MASHARIKI MWA AFRIKA SIIONI?Nchi 10 za Afrika zenye akiba kubwa ya Dhahabu kwa mujibu wa Statistics
1. Algeria- tani 174 za kipimo
2. Afrika Kusini- tani 125 za metric
3. Libya- tani za metric 117
4. Misri- tani 80.73 za metric
5. Moroko- tani za metric 22.12
6. Nigeria- tani 21.37 za metric
7. Mauritius- tani 12.44 za metric
8. Ghana- tani 8.74 za metric
9. Tunisia- tani 6.84 za metric
10. Msumbiji- tani 3.94 za metric
View attachment 2259063
Yani tumezidiwa hadi na Mauritius?.. Nchi ngumu sana hii kwakweli.Nchi 10 za Afrika zenye akiba kubwa ya Dhahabu kwa mujibu wa Statistics
1. Algeria- tani 174 za kipimo
2. Afrika Kusini- tani 125 za metric
3. Libya- tani za metric 117
4. Misri- tani 80.73 za metric
5. Moroko- tani za metric 22.12
6. Nigeria- tani 21.37 za metric
7. Mauritius- tani 12.44 za metric
8. Ghana- tani 8.74 za metric
9. Tunisia- tani 6.84 za metric
10. Msumbiji- tani 3.94 za metric
View attachment 2259063
Ambayo tayari ishachimbwaAkiba kwenye reserve or ambayo bado haijachimbwa ?
Imo kwenye list ambayo haijachimbwaTanzania shamba la Bibi hakuna gold reserve π€£π€£π€£
Nchi 10 za Afrika zenye akiba kubwa ya Dhahabu kwa mujibu wa Statistics
1. Algeria- tani 174 za kipimo
2. Afrika Kusini- tani 125 za metric
3. Libya- tani za metric 117
4. Misri- tani 80.73 za metric
5. Moroko- tani za metric 22.12
6. Nigeria- tani 21.37 za metric
7. Mauritius- tani 12.44 za metric
8. Ghana- tani 8.74 za metric
9. Tunisia- tani 6.84 za metric
10. Msumbiji- tani 3.94 za metric
View attachment 2259063
Ni aibu kubwa saaana , hii imesababishwa na poor incompetent administration ..........we need change reserve ya dhahabu ni muhimu saana kwa uchumi wa Taifa lolote Duniani .....Kwa hali ya uchumi wa dunia unavyokwenda, kuna uwezekano kwamba ndani ya miaka kumi hadi ishirini ijayo US Dollar itapoteza thamani yake kwa kiwango fulani, hasa kutokana na uwezekano wa mataifa mengi kuanza kupunguza USD reserves wakiogopa kutendwa na Marekani alichotendwa Russia.
Kwa sababu hii, inabidi Tanzania iongeze akiba yake ya dhahabu ili kusaidia katika kukabiliana na msukosuko wa kiuchumi utakaotokea wakati USD itakapoanza kupoteza global dominance. Ikumbukwe kuwa Dhahabu na USD zina mahusiano kinzani katika thamani zao (inverse relationship). Kwahiyo, mwokozi wa dunia wakati huo atakuwa Dhahabu kwa sababu thamani yake itakuwa juu
Itaje mkuu usiogopeKUNA NCHI NAITAFUTA INAPATIKANA MASHARIKI MWA AFRIKA SIIONI?
Kwamba DRC hawamo?,Hizo takwimu zina walakini.Nchi 10 za Afrika zenye akiba kubwa ya Dhahabu kwa mujibu wa Statistics
1. Algeria- tani 174 za kipimo
2. Afrika Kusini- tani 125 za metric
3. Libya- tani za metric 117
4. Misri- tani 80.73 za metric
5. Moroko- tani za metric 22.12
6. Nigeria- tani 21.37 za metric
7. Mauritius- tani 12.44 za metric
8. Ghana- tani 8.74 za metric
9. Tunisia- tani 6.84 za metric
10. Msumbiji- tani 3.94 za metric
View attachment 2259063
Wale ni kichwa cha ALMASKwamba DRC hawamo?,Hizo takwimu zina walakini.