Kuna uzi humu unaelezea hayo mambo hebu utafuteNatamani kuwa agent wa hizo kampuni, mwenye uelewa wakuuu
Na vpgo tunavumilia hukuUnataka kuwa mbetishaji? Mkoani itakulipa. Huku Dar, wengi tunabet online. Hakuna kujichoresha.
Meridian sidhani km wana wakala labda uwe meneja kwny branch yao ya mkoani uwashauri wakufungulie kodi wanalipa wenywe na wafanyakaziNatamani kuwa agent wa hizo kampuni, mwenye uelewa wakuuu
Ha haaa!Na vpgo tunavumilia huku
Huku online
Naomi osakaNa vpgo tunavumilia huku
Huku online
Siku za baadae mtakuja kuwa wachambuzi ewazuri Wa michezo kwenye TV Na Radio maana huwa MNA kibarua kigumu cha kufuatili ligi mbalimbaliNa vpgo tunavumilia huku
Huku online
Sure hapa hata mimi uniambie nichambue league ya Scotland lazima nitachambua vizuri mnoSiku za baadae mtakuja kuwa wachambuzi ewazuri Wa michezo kwenye TV Na Radio maana huwa MNA kibarua kigumu cha kufuatili ligi mbalimbali
Haa haa haa aiseee me hata leagueSure hapa hata mimi uniambie nichambue league ya Scotland lazima nitachambua vizuri mno
Hata Sasa hv n vle tu cv zetuSiku za baadae mtakuja kuwa wachambuzi ewazuri Wa michezo kwenye TV Na Radio maana huwa MNA kibarua kigumu cha kufuatili ligi mbalimbali
Me ni Wakala wa Premier Betting nitakupa step zote za kufuata ili kuwa wakala , haya upo wapi kwanza ? Dar au?Natamani kuwa agent wa hizo kampuni, mwenye uelewa wakuuu
Assalam alaykum KiongoziNatamani kuwa agent wa hizo kampuni, mwenye uelewa wakuuu
Assalam alaykum Kiongozi
Kama upo Dar, ofisi za hawa jamaa zipo mtaa wa Sukuma na Sikukuu, karibu na Soko la Kariakoo Au njoo hadi Petrol station ya Big Born, Nyoosha na barabara inayoenda mnazi mmoja, utapita mitaa kama mitatu hivi kama sikosei. Unatakiwa kwenda na Doc, ambazo ni barua yako ya maombi ya uwakala na utakayoambatanisha na barua ya utambulisho kutoka kwa mtendaji wa mtaa, copy ya kitambulisho na barua za wadhamini wawili zilizoambatanishwa na copy za vitambulisho zao na barua zao za utambulisho kutoka kwa mtendaji wa mtaa.
Nadhani umenipata? Kama utahitaji private number ya sales manager njoo inbox Kiongozi