Nawezaje kuagiza bidhaa kutoka China kwa kununua katika mtandao wa Alibaba nikapata hiyo bidhaa Kwa bei nafuu zaidi?

Backend

Member
Jul 26, 2022
11
12
Wakuu habari ya muda huu, hongereni kwakuendelea kupambana kuhakikisha ndoto zenu zinatimiašŸ¤ hakika Atukuzwe Mungu anaye tuwezesha katika Hatua hizi zotešŸ™.

Wakuu nimekuwa nikiangalia Bei za bidhaa mbalimbali zinazouzwa katika mtandao WA Alibaba kwakweli zina Bei nafuu kuliko hapa nyumbani..Sasa nimechukia hatua ya kutaka kuagiza Bidhaa moja kama majaribio ya kuona itagharimu kiasi Gani mpaka kunifikia kutoka huko China.

Hii bidhaa Hair dryer Kwaaajili ya saloon ya kike Bei ni kama 130k
nimeuliza transporter Bei ya kusafirisha kwanjia ya Meli mpaka TZ kanambia CBM 1 Wanasafirishia Kwa $430(1,171000)

Sasa nkakosa muelekeo je nifanyeje? Bei inaonekana kubwa ya kusafirisha pia Bei za hair dryer Tanzania mpya unaweza pata mpaka 220k naomba mwongozo wenu wakuu.

Asanteni.
 
Wakuu habari ya muda huu , hongereni kwakuendelea kupambana kuhakikisha ndoto zenu zinatimiašŸ¤ hakika Atukuzwe Mungu anaye tuwezesha katika Hatua hizi zotešŸ™.
Wakuu nimekuwa nikiangalia Bei za bidhaa mbalimbali zinazouzwa katika mtandao WA Alibaba kwakweli Zina Bei nafuu kuliko hapa nyumbani..Sasa nimechukia hatua ya kutaka kuagiza Bidhaa moja kama majaribio yakuona itagharimu kiasi Gani mpaka kunifikia kutoka huko china.
Hii bidhaa Hair dryer Kwaaajili ya saloon ya kike Bei ni kama 130k
nimeuliza transporter Bei ya kusafirisha kwanjia ya Meli mpaka TZ kanambia CBM 1 Wanasafirishia Kwa $430(1,171000) Sasa nkakosa muelekeo je nifanyeje ? Bei inaonekana kubwa ya kusafirisha pia Bei za hair dryer Tz mpya unaweza pata mpaka 220k naomba mwongozo wenu wakuu.
Asanteni.
Muulize supplier wako, hiyo dryer Ina CBM ngapi maana drier Moja haliwezi kufikisha CBM Moja, inaweza ku range kati ya 0.05_0.08cbm, hivyo CBM atakayokuambia unachukua unazidisha na hiyo 430$ hapo utapata bei ya kusafirisha mzigo wako
 
Muulize supplier wako, hiyo dryer Ina CBM ngapi maana drier Moja haliwezi kufikisha CBM Moja, inaweza ku range kati ya 0.05_0.08cbm, hivyo CBM atakayokuambia unachukua unazidisha na hiyo 430$ hapo utapata bei ya kusafirisha mzigo wako
shukrani sana Mkuu šŸ¤
 
Bei ni kama 130k
nimeuliza transporter Bei ya kusafirisha kwanjia ya Meli mpaka TZ kanambia CBM 1 Wanasafirishia Kwa $430(1,171000) Sasa nkakosa muelekeo je nifanyeje ? Bei inaonekana kubwa ya kusafirisha pia Bei za hair dryer Tz mpya unaweza pata mpaka 220k naomba mwongozo wenu wakuu.
Asanteni.
Hatua ya kwanza: Kujua bei kwa cbm = Hili tayari umefanikisha

Hatua ya pili = Fahamu "package size" ka hiyo hair dryer chukulia huu mfano kama ndio ukubwa wake: 40.5 cm x 14 cm x 9 cm.

Hatua ya Tatu: BBadili vipimo viwe kwa meters
  • Length: 40.5 cm = 0.405 m
  • Width: 14 cm = 0.14 m
  • Height: 9 cm = 0.09 m
Hatua ya Nne: Zidisha sasa = 0.405mƗ0.14mƗ0.09m = 0.005103m3.

Je msafirishaji utamlipa USD ngap kukufikishia TZs: 0.005103 x $430 = USD 2.2

Ushauri:
  • Kwakuwa mzigo kwa meli unachukua muda mrefu wakati mwingine hadi miezi mitatu.
  • Kwa kuwa mzigo gharama ya usafiri iko chini
Nivyema kuatumia alibaba kuagiza mzigo mkubwa wa biasha. Mfano badala ya kuagiza dryer moja agiza 10 au 20 mdio faida utaiona. Vinginevyoa aliexpress ndio chaguo sahihi.
Thread 'Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa' Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

=
Kwa yeyote mwenye uhitaji wa kuagiziwa mzigo toka alibaba, mzigo mkubwa wa biashara, na kufanyiwa delivery mkoa wowote hapa Tanzania, usisiste kuwasiliana nami nitakufanikishia hatua zote hadi mzigo unakufikia mahala ulipo
 
Wakuu habari ya muda huu , hongereni kwakuendelea kupambana kuhakikisha ndoto zenu zinatimiašŸ¤ hakika Atukuzwe Mungu anaye tuwezesha katika Hatua hizi zotešŸ™.
Wakuu nimekuwa nikiangalia Bei za bidhaa mbalimbali zinazouzwa katika mtandao WA Alibaba kwakweli Zina Bei nafuu kuliko hapa nyumbani..Sasa nimechukia hatua ya kutaka kuagiza Bidhaa moja kama majaribio yakuona itagharimu kiasi Gani mpaka kunifikia kutoka huko china.
Hii bidhaa Hair dryer Kwaaajili ya saloon ya kike Bei ni kama 130k
nimeuliza transporter Bei ya kusafirisha kwanjia ya Meli mpaka TZ kanambia CBM 1 Wanasafirishia Kwa $430(1,171000) Sasa nkakosa muelekeo je nifanyeje ? Bei inaonekana kubwa ya kusafirisha pia Bei za hair dryer Tz mpya unaweza pata mpaka 220k naomba mwongozo wenu wakuu.
Asanteni.
Hapana, (with a big NO)
 
Utaja kulia,wife aliagiza kitu kikaonekana ni simple .Ilivyokuja gharama ya usafiri na kujumlisha,bei ikaonekana zinafanana tu.
Muhimu kama si mfanya biashara wa bidhaa,ingia kkoo saka machimbo kwa bei nafuu kisha nunua maana ndo biashara hyo kwa mwenzio.Advantage,waeza change na kuomba warranty japo ni ya uongo.Pia isipowaka unarudisha chap.Mzigo WA Alibaba no wako and you can't export in case umezingua.
 
Hatua ya kwanza: Kujua bei kwa cbm = Hili tayari umefanikisha

Hatua ya pili = Fahamu "package size" ka hiyo hair dryer chukulia huu mfano kama ndio ukubwa wake: 40.5 cm x 14 cm x 9 cm.

Hatua ya Tatu: BBadili vipimo viwe kwa meters
  • Length: 40.5 cm = 0.405 m
  • Width: 14 cm = 0.14 m
  • Height: 9 cm = 0.09 m
Hatua ya Nne: Zidisha sasa = 0.405mƗ0.14mƗ0.09m = 0.005103m3.

Je msafirishaji utamlipa USD ngap kukufikishia TZs: 0.005103 x $430 = USD 2.2

Ushauri:
  • Kwakuwa mzigo kwa meli unachukua muda mrefu wakati mwingine hadi miezi mitatu.
  • Kwa kuwa mzigo gharama ya usafiri iko chini
Nivyema kuatumia alibaba kuagiza mzigo mkubwa wa biasha. Mfano badala ya kuagiza dryer moja agiza 10 au 20 mdio faida utaiona. Vinginevyoa aliexpress ndio chaguo sahihi.



=
Kwa yeyote mwenye uhitaji wa kuagiziwa mzigo toka alibaba, mzigo mkubwa wa biashara, na kufanyiwa delivery mkoa wowote hapa Tanzania, usisiste kuwasiliana nami nitakufanikishia hatua zote hadi mzigo unakufikia mahala ulipo
Shukrani sana Mkuu Kwa ufafanuzi nzuri...nimemuuliza kuhusu CBM kasema ni 0.2 kama ilivyo hapa kwenye picha
 

Attachments

  • Screenshot_20241020-010347.jpg
    Screenshot_20241020-010347.jpg
    197.8 KB · Views: 1
Thread 'Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa' Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China

Utaja kulia,wife aliagiza kitu kikaonekana ni simple .Ilivyokuja gharama ya usafiri na kujumlisha,bei ikaonekana zinafanana tu.
Muhimu kama si mfanya biashara wa bidhaa,ingia kkoo saka machimbo kwa bei nafuu kisha nunua maana ndo biashara hyo kwa mwenzio.Advantage,waeza change na kuomba warranty japo ni ya uongo.Pia isipowaka unarudisha chap.Mzigo WA Alibaba no wako and you can't export in case umezingua.

Utaja kulia,wife aliagiza kitu kikaonekana ni simple .Ilivyokuja gharama ya usafiri na kujumlisha,bei ikaonekana zinafanana tu.
Muhimu kama si mfanya biashara wa bidhaa,ingia kkoo saka machimbo kwa bei nafuu kisha nunua maana ndo biashara hyo kwa mwenzio.Advantage,waeza change na kuomba warranty japo ni ya uongo.Pia isipowaka unarudisha chap.Mzigo WA Alibaba no wako and you can't export in case umezingua.
AiseešŸ¤”
 
Hatua ya kwanza: Kujua bei kwa cbm = Hili tayari umefanikisha

Hatua ya pili = Fahamu "package size" ka hiyo hair dryer chukulia huu mfano kama ndio ukubwa wake: 40.5 cm x 14 cm x 9 cm.

Hatua ya Tatu: BBadili vipimo viwe kwa meters
  • Length: 40.5 cm = 0.405 m
  • Width: 14 cm = 0.14 m
  • Height: 9 cm = 0.09 m
Hatua ya Nne: Zidisha sasa = 0.405mƗ0.14mƗ0.09m = 0.005103m3.

Je msafirishaji utamlipa USD ngap kukufikishia TZs: 0.005103 x $430 = USD 2.2

Ushauri:
  • Kwakuwa mzigo kwa meli unachukua muda mrefu wakati mwingine hadi miezi mitatu.
  • Kwa kuwa mzigo gharama ya usafiri iko chini
Nivyema kuatumia alibaba kuagiza mzigo mkubwa wa biasha. Mfano badala ya kuagiza dryer moja agiza 10 au 20 mdio faida utaiona. Vinginevyoa aliexpress ndio chaguo sahihi.



=
Kwa yeyote mwenye uhitaji wa kuagiziwa mzigo toka alibaba, mzigo mkubwa wa biashara, na kufanyiwa delivery mkoa wowote hapa Tanzania, usisiste kuwasiliana nami nitakufanikishia hatua zote hadi mzigo unakufikia mahala ulipo
Hongera sana Mkuu. Hujawahi kuchosha.
Naomba kujua tofauti na Alibaba kuna Kampuni ipi ya Kichina ambayo wanauza/kuunganisha wanunuzi wa bidhaa kwa bei nafuu zaidi.
Thanks
 
Naomba mwongozo mkuu ni wapi hao
Mbinu nzuri ni kuagiza moja kwa moja Alibaba nia agent, halafu unatafuta msafirishaji ambeye ni bei nafuu, pia hizi kampuni za usafirishaji pia zinachangamoto hasa wakati wa kuugomboa mzigo wako kama ni mkubwa

Wakala-Agent
 
Back
Top Bottom