Nawakumbusheni Wanaume, Usimpende Wakati wa Shida zake, ukajua umeokota Dodo

The Eric

JF-Expert Member
Feb 23, 2019
6,038
10,228
Salaam Wanaume Wenzangu mnaosoma huu Uzi.

TAFADHALI: Hii ni kwa ajili ya Men, wanawake wa jamii forum msipite hapa tuna kikao.

Kile Kikao cha Wanaume leo tena kipo hapa.

⚠️⚠️⚠️CAUTION: USIMPENDE MWANAMKE NA KUMZIMIKIA ETI KISA KAJA KWAKO AU KAKUFUATA ANAKULILIA SHIDA ZAKE, AU KAVURUGWA ZAKE NA VIKOBA, UKIFANYA IVO UTALIA NA KUSAGA MENO.

Sababu za kutofanya hivo hizi hapa:

1. Mwanamke unayempenda au unayedhani kakuelewa na kukubalia ombi lako anakuwa kakubali tu sababu ya shida zake.

Mfano atakuambia shida zake nyingi kama ooh mtoto anaumwa (single mothers),
oooh kila kitu ni mimi juu ya huyu mtoto, wala hatokaa akupe sababu za yeye kuachana na huyo mwanaume.

2. Shida zake zikiisha tu akapata mwanga (akimkubalia mwanaume mwingine) atakutukana na kusema huna lolote.

Wapo wimbi la men wanao dondokea kwenye huu mtego wa kusaidia she wenye shida zao na kwa wakati huo wewe mwanaume unajiona umeokota dodo na umemaliza.

Mwisho mwanaume ukitaka kumpenda mwanamke basi umkute ana akili zake timamu na hajavurugwa na maisha.....iwe mnapendana kwa makubaliano yasiyo na sababu, Wazungu wanaita LOVE WITH NO REASON.

shida zake msaidie kama mtu mwingine si kimapenzi.

Cc
DR HAYA LAND aliwahi toa hili kama comment leo naleta kama uzi.

Asanteni mamen...
 
Nina ushahidi 100%

Alikua anaanza first year, akanitafuta analia eti bodi hawajampa hela full na kuna percentage anatakiwa alipie ili afanye registration.

Kwakua nilikua namsarandia, nikajua nimepata mterezo. Nikamlipia (sio kubwa around 350k hivi), akafanya registration, tukaendelea kudate.

Aisee, kamaliza chuo tu, juzi ata graduu bado, vituko gunia.

Bado napambana na maumivu.
 
Nina ushahidi 100%

Alikua anaanza first year, akanitafuta analia eti bodi hawajampa hela full na kuna percentage anatakiwa alipie ili afanye registration.

Kwakua nilikua namsarandia, nikajua nimepata mterezo. Nikamlipia (sio kubwa around 350k hivi), akafanya registration, tukaendelea kudate.

Aisee, kamaliza chuo tu, juzi ata graduu bado, vituko gunia.

Bado napambana na maumivu.
Pole mkuu mchumba asomeshwi anapelekwa cherehani.
 
Imenikuta hii kuna bidada alitoka kuachika tukawa na ukaribu flan uliopitiliza baadae tukaingia kwenye mahusiano but nilokuja kulearn alinipenda sababu nilikuwa nampa faraja baada ya kutoka kwenye ndoa pamoja na zile treatment za vizawadi vya hapa na pale ila uzuri nilijiondoa mapema anakuja kushtuka nisha move on nikikumbuka najipa big up jinsi nilivyosoma red flag signs mapema.
 
Nina ushahidi 100%

Alikua anaanza first year, akanitafuta analia eti bodi hawajampa hela full na kuna percentage anatakiwa alipie ili afanye registration.

Kwakua nilikua namsarandia, nikajua nimepata mterezo. Nikamlipia (sio kubwa around 350k hivi), akafanya registration, tukaendelea kudate.

Aisee, kamaliza chuo tu, juzi ata graduu bado, vituko gunia.

Bado napambana na maumivu.
Aisee.
 
Imenikuta hii kuna bidada alitoka kuachika tukawa na ukaribu flan uliopitiliza baadae tukaingia kwenye mahusiano but nilokuja kulearn alinipenda sababu nilikuwa nampa faraja baada ya kutoka kwenye ndoa pamoja na zile treatment za vizawadi vya hapa na pale ila uzuri nilijiondoa mapema anakuja kushtuka nisha move on nikikumbuka najipa big up jinsi nilivyosoma red flag signs mapema.
Bado mnaendelea kuwasiliana?
 
Changamoto ni upwiru wa kuhitaji K, unakuta pisi kali yenye tako kubwa inakulilia shida, hapo kwa akili ya kipwiru na kichwa kidogo unamwaga mahelaaaa. Na pisi inakupa k mpaka unachoka mwenyewe. Weekend anakuletea msambwanda geto. Weekend ikiisha unampa mahelaaaa 🤣
Yaani binti akiwa na shida ya hela, na akijua wewe unampa hela ya uhakika bila konakona atakupea K mpaka uchoke mwenyewe 🤣🤣


Tena ukutane na katoto ka elfu mbili, nyuma kamenawiri, we huogopi!



Upwiru
 
Salaam Wanaume Wenzangu mnaosoma huu Uzi.

TAFADHALI: Hii ni kwa ajili ya Men, wanawake wa jamii forum msipite hapa tuna kikao.

Kile Kikao cha Wanaume leo tena kipo hapa.

⚠️⚠️⚠️CAUTION: USIMPENDE MWANAMKE NA KUMZIMIKIA ETI KISA KAJA KWAKO AU KAKUFUATA ANAKULILIA SHIDA ZAKE, AU KAVURUGWA ZAKE NA VIKOBA, UKIFANYA IVO UTALIA NA KUSAGA MENO.

Sababu za kutofanya hivo hizi hapa:

1. Mwanamke unayempenda au unayedhani kakuelewa na kukubalia ombi lako anakuwa kakubali tu sababu ya shida zake.

Mfano atakuambia shida zake nyingi kama ooh mtoto anaumwa (single mothers),
oooh kila kitu ni mimi juu ya huyu mtoto, wala hatokaa akupe sababu za yeye kuachana na huyo mwanaume.

2. Shida zake zikiisha tu akapata mwanga (akimkubalia mwanaume mwingine) atakutukana na kusema huna lolote.

Wapo wimbi la men wanao dondokea kwenye huu mtego wa kusaidia she wenye shida zao na kwa wakati huo wewe mwanaume unajiona umeokota dodo na umemaliza.

Mwisho mwanaume ukitaka kumpenda mwanamke basi umkute ana akili zake timamu na hajavurugwa na maisha.....iwe mnapendana kwa makubaliano yasiyo na sababu, Wazungu wanaita LOVE WITH NO REASON.

shida zake msaidie kama mtu mwingine si kimapenzi.

Cc
DR HAYA LAND aliwahi toa hili kama comment leo naleta kama uzi.

Asanteni mamen...
Pole sana kwa yaliyokukuta ndo ukubwa huo
 
Imenikuta hii kuna bidada alitoka kuachika tukawa na ukaribu flan uliopitiliza baadae tukaingia kwenye mahusiano but nilokuja kulearn alinipenda sababu nilikuwa nampa faraja baada ya kutoka kwenye ndoa pamoja na zile treatment za vizawadi vya hapa na pale ila uzuri nilijiondoa mapema anakuja kushtuka nisha move on nikikumbuka najipa big up jinsi nilivyosoma red flag signs mapema.
Ni vizuri ulijifunza na unaendelea kujifunza na kukumbushwa zaidi.
 
Changamoto ni upwiru wa kuhitaji K, unakuta pisi kali yenye tako kubwa inakulilia shida, hapo kwa akili ya kipwiru na kichwa kidogo unamwaga mahelaaaa. Na pisi inakupa k mpaka unachoka mwenyewe. Weekend anakuletea msambwanda geto. Weekend ikiisha unampa mahelaaaa 🤣
Yaani binti akiwa na shida ya hela, na akijua wewe unampa hela ya uhakika bila konakona atakupea K mpaka uchoke mwenyewe 🤣🤣


Tena ukutane na katoto ka elfu mbili, nyuma kamenawiri, we huogopi!



Upwiru
Na hapo ndo anguko lako hutokea.
 
Nina ushahidi 100%

Alikua anaanza first year, akanitafuta analia eti bodi hawajampa hela full na kuna percentage anatakiwa alipie ili afanye registration.

Kwakua nilikua namsarandia, nikajua nimepata mterezo. Nikamlipia (sio kubwa around 350k hivi), akafanya registration, tukaendelea kudate.

Aisee, kamaliza chuo tu, juzi ata graduu bado, vituko gunia.

Bado napambana na maumivu.
Naskia anatoka na pacome 😂
 
Back
Top Bottom