Habari wadau....nauza tank la mafuta likiwa katika hali nzuri kabisa.Halijawahi kutumika.Ni yale ambayo yanafukwa chini ama niseme yanayochimbiwa chini.Lina ujazo wa lita 13,500/= na urefu wa ft 12.2 .Bei ni Mil 4.5
Angalia picha ukipenda njoo tufanye biashara 0763969066
Angalia picha ukipenda njoo tufanye biashara 0763969066