Nauza mbwa bora wa ulinzi

amani ya kweli

Senior Member
May 2, 2015
149
17
Hello friends, hivi mnafaham kuwa mbwa ni mlinzi mwaminifu wa kweli na unapotumia mbwa mwenye mafunzo unakuwa umeongeza uhakika wa usalama wako Mara dufu kuliko kutumia Masai au binadam yeyote? Wasiliana nami nikushauri au nikuuzie mbwa wa Kisasa na wenye urahisi wa kufundishika. 0768638360
 
Hao mbwa unaowauza watakuwa vilazza kama ulivyoandika hili tangazo
 
Wewe uliyetoa hii post ni mwehu sana, natamani upewe BAN kubwa kuliko hata kichwa chako. Jana umetoa post mbili; hii yenye heading "NAUZA MBWA WA BORA WA ULINZI, post nyingine uliandika "MBWA NI MLINZI WA KWELI"

Posts zote mbili umeandika kuwa unauza mbwa na umeweka namba zako hapo. Wengi (mimi nikiwemo) wamekuuliza kuwa una mbwa wa aina gani (breed) na bei zako zikoje??? Lakini hujaweza kujibu hata moja, umekuja hapa kuchezea watu akili???

Admin: Ondoa posts zake huyu jamaa, amekuja kucheza na akili za watu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…