Berryblack
Member
- Oct 3, 2022
- 53
- 64
Wakuu Nina vijogoo vya kuku chotara naviuza nipo maeneo ya mbweni jkt karibuni sanaaa kwa mawasiliano 0612630936 bei n 15000
Mkuu Mbona sijataja BeiMkuu bei kubwa sana aisee, yaani hivyo vifaranga ndo uuze laki 2!?
Ukiona hivyo weka bei kuepusha usumbufu.Mkuu Mbona sijataja Bei
Sawa mkuu Ila 15000Ukiona hivyo weka bei kuepusha usumbufu.
Ok mkuu wanunuzi wanakuja, jaribu kushea na kwenye magroup ya kilimo na ufugaji huko facebook. Weka na jiji.Sawa mkuu Ila 15000