Kama ni muuzaji kweli weka bei hadharani, watanzania ni watu wa ajabu sana, ukiingia web kama Be foward, Car junction nk, utaona magari na bei zake, wewe bei mpaka ufutwe chumbani kweli tuna safari ndefuKama ni mnunuzi kweli mfuate PM.
Kama ni muuzaji kweli weka bei hadharani, watanzania ni watu wa ajabu sana, ukiingia web kama Be foward, Car junction nk, utaona magari na bei zake, wewe bei mpaka ufutwe chumbani kweli tuna safari ndefu
Kuna kila dalili za mtu kulizwa hapa,just subili tuKama ni muuzaji kweli weka bei hadharani, watanzania ni watu wa ajabu sana, ukiingia web kama Be foward, Car junction nk, utaona magari na bei zake, wewe bei mpaka ufutwe chumbani kweli tuna safari ndefu
Nliwahi kukufuata pm hukujibu naona umeweka tena tangazoWanabodi,
Ninauza basi langu la Eicher lenye namba CVZ.
Kwa sababu ya majukumu mengine ninakosa muda wa kusimamia hivyo sipati mapato ninayokusudia.
Lipo kwenye hali nzuri na bei ni maelewano.
Karibu pm kwa anayependa kupata taarifa zaidi na mnunuaji.
Picha imeambatanishwa
View attachment 528761
Chato niliona punda wakivuka mataaWeka bei kabisa nione kama naweza miliki gari ya biashara huku chato...