Natoa pongezi kwa Jerry Silaa na Paul Makonda kwa kushughulikia matatizo ya Watanzania maskini

Revolution

JF-Expert Member
Feb 28, 2008
849
688
Nikiwa kama mwananchi ninapenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa hawa Waheshimiwa wawili. Kwa kweli wamekuwa ni viongozi wa mfano ambao kwa kiasi kikubwa wanashughulikia matatizo ya watanzania maskini na wenye uhitaji. Hivi ndivyo viongozi wote wanapaswa kuwa na ili kuweza kumsaidia Mhe. Rais katika kutatua kero za wananchi na kuwaletea maendeleo kwa kuwapa huduma bora.

Ninamshauri sana Mhe. aachane na viongozi mizigo ambao kazi yao ni kujilimbikizia mimali na kutoka mavitambi, achague watu kama Mh. Jerry Slaa na Mh. Makonda.

Mh. Makonda kama binaadamu anazo changamoto chache za kiuongozi ambazo akiendelea kupikwa , kufundwa na kuelekezwa atakuwa kiongozi bora kabisa.

Sisi vijana tunajivunia sana kuwa na hawa viongozi wanaoonesha mfano kwamba vijana tukipewa dhamana ya kuwaongoza Watanzania tunaweza. Hivi Mawaziri wengine na Wakuu wa Mikoa wanajisikiaje wenzao wanapokuwa wanachapa kazi kwa kuwasaidia wanyonge wa nchi hii na wao wapo tu!!? Ingekuwa ni mimi ningeiga wanayofanya sio vibaya au aibu kuiga mambo mazuri kutoka kwa mwenzako.

Kama kuna namna Mh. Rais anaweza kuona post hii tafadhali na aione.
 
Sawa Lakin inabidi sasa tuwe na taasisi Imara za kuweza kushughulikia haya mambo , asiwe mtu mmoja mmoja

Britanicca
Umaskini ni mtaji wa watu kisiasa. Ndio maana kila mara unasikia oh mimi ni mtetezi wa maskini au mnyonge. Tutoe watu kwenye huo umaskini na unyonge. China imewatoa ktk umaskini zaidi ya watu 400m, wakati ktk kipindi hicho hicho hapa kwetu umaskini unaongezeka.
 
Umaskini ni mtaji wa watu kisiasa. Ndio maana kila mara unasikia oh mimi ni mtetezi wa maskini au mnyonge. Tutoe watu kwenye huo umaskini na unyonge. China imewatoa ktk umaskini zaidi ya watu 400m, wakati ktk kipindi hicho hicho hapa kwetu umaskini unaongezeka.
Hata kama ni mtaji ila kama amesaidia kuokoa haki iliyoporwa (Mfano mtu aliyeporwa nyumba yake au kiwanja chake) basi huo ni mtaji sahihi. Viongozi wengine waige kujipatia mitaji ya kisiasa kwa kutenda haki dhidi ya wananchi wanyonge. Mimi binafsi mtu akipata mtaji wa kisiasa kwa njia hiyo nitamsapoti na ndio maana unaona hao waheshimiwa wawili wanapongezwa. In fact baada ya kuandika hii mada ndipo nikagundua kuna mdau mwingine alishawahi kuandika mada kama hii.

Wakati Serikali inaendelea na jitihada za kuwatoa watanzania katika umasikini basi viongozi walioteuliwa waendelee kutenda haki kama hawa wawili.
 
Hata kama ni mtaji ila kama amesaidia kuokoa haki iliyoporwa (Mfano mtu aliyeporwa nyumba yake au kiwanja chake) basi huo ni mtaji sahihi. Viongozi wengine waige kujipatia mitaji ya kisiasa kwa kutenda haki dhidi ya wananchi wanyonge. Mimi binafsi mtu akipata mtaji wa kisiasa kwa njia hiyo nitamsapoti na ndio maana unaona hao waheshimiwa wawili wanapongezwa. In fact baada ya kuandika hii mada ndipo nikagundua kuna mdau mwingine alishawahi kuandika mada kama hii.

Wakati Serikali inaendelea na jitihada za kuwatoa watanzania katika umasikini basi viongozi walioteuliwa waendelee kutyan

Hata kama ni mtaji ila kama amesaidia kuokoa haki iliyoporwa (Mfano mtu aliyeporwa nyumba yake au kiwanja chake) basi huo ni mtaji sahihi. Viongozi wengine waige kujipatia mitaji ya kisiasa kwa kutenda haki dhidi ya wananchi wanyonge. Mimi binafsi mtu akipata mtaji wa kisiasa kwa njia hiyo nitamsapoti na ndio maana unaona hao waheshimiwa wawili wanapongezwa. In fact baada ya kuandika hii mada ndipo nikagundua kuna mdau mwingine alishawahi kuandika mada kama hii.

Wakati Serikali inaendelea na jitihada za kuwatoa watanzania katika umasikini basi viongozi walioteuliwa waendelee kutenda haki kama hawa wawili.
Ki msingi uko sahihi, ila hoja yangu ni kwamba, tuangalie tulijikwaa wapi na siyo tumeangukia wapi. Kuondoa umaskini kunahitaji kujitathmini kama taifa na kuwe na utashi wa kisiasa. Mfumo sahihi wa kujitawala utaleta uwajibikaji. Sadly hawa walioko kwenye utawala hawataki kusikia kwamba mfumu huu hauna tija. Wakitokea watendaji wawili / watatu wakifanya vyema wakiondoka/kuondolewa tunajikuta kule kule.
 
Sawa Lakin inabidi sasa tuwe na taasisi Imara za kuweza kushughulikia haya mambo , asiwe mtu mmoja mmoja

Britanicca
Sahihi haiwezekani watendaji wanatengeneza kero halafu wanasumbua mkuu WA mkoa na waziri atatue kero walizotengeneza

Maoni yangu niiombe serikali ikikutana na kero ambayo mtendaji WA serikali katengeneza afukuzwe KAZI bila malipo yeyote sababu hakuajiriwa kutengeneza kero

Serikali wawe wakali kama pilipili kuwe na kitengo kabisa cha ku analyise taarifa hii kero nani kaitengeneza ? Afukuzwe KAZI na kutaifishiwa Mali zake zote na jela aende
 
Nikiwa kama mwananchi ninapenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa hawa Waheshimiwa wawili. Kwa kweli wamekuwa ni viongozi wa mfano ambao kwa kiasi kikubwa wanashughulikia matatizo ya watanzania maskini na wenye uhitaji. Hivi ndivyo viongozi wote wanapaswa kuwa na ili kuweza kumsaidia Mhe. Rais katika kutatua kero za wananchi na kuwaletea maendeleo kwa kuwapa huduma bora.

Ninamshauri sana Mhe. aachane na viongozi mizigo ambao kazi yao ni kujilimbikizia mimali na kutoka mavitambi, achague watu kama Mh. Jerry Slaa na Mh. Makonda.

Mh. Makonda kama binaadamu anazo changamoto chache za kiuongozi ambazo akiendelea kupikwa , kufundwa na kuelekezwa atakuwa kiongozi bora kabisa.

Sisi vijana tunajivunia sana kuwa na hawa viongozi wanaoonesha mfano kwamba vijana tukipewa dhamana ya kuwaongoza Watanzania tunaweza. Hivi Mawaziri wengine na Wakuu wa Mikoa wanajisikiaje wenzao wanapokuwa wanachapa kazi kwa kuwasaidia wanyonge wa nchi hii na wao wapo tu!!? Ingekuwa ni mimi ningeiga wanayofanya sio vibaya au aibu kuiga mambo mazuri kutoka kwa mwenzako.

Kama kuna namna Mh. Rais anaweza kuona post hii tafadhali na aione.
Sisi
Sahihi haiwezekani watendaji wanatengeneza kero halafu wanasumbua mkuu WA mkoa na waziri atatue kero walizotengeneza

Maoni yangu niiombe serikali ikikutana na kero ambayo mtendaji WA serikali katengeneza afukuzwe KAZI bila malipo yeyote sababu hakuajiriwa kutengeneza kero

Serikali wawe wakali kama pilipili kuwe na kitengo kabisa cha kuna analyise taarifa hii kero nani kaitengeneza ? Afukuzwe KAZI na kutaifishiwa Mali zake zote na jela aende
Unaposema "SISI VIJANA" unamaanisha wewe na akina nani? PUMBAVU
 
Nikiwa kama mwananchi ninapenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa hawa Waheshimiwa wawili. Kwa kweli wamekuwa ni viongozi wa mfano ambao kwa kiasi kikubwa wanashughulikia matatizo ya watanzania maskini na wenye uhitaji. Hivi ndivyo viongozi wote wanapaswa kuwa na ili kuweza kumsaidia Mhe. Rais katika kutatua kero za wananchi na kuwaletea maendeleo kwa kuwapa huduma bora.

Ninamshauri sana Mhe. aachane na viongozi mizigo ambao kazi yao ni kujilimbikizia mimali na kutoka mavitambi, achague watu kama Mh. Jerry Slaa na Mh. Makonda.

Mh. Makonda kama binaadamu anazo changamoto chache za kiuongozi ambazo akiendelea kupikwa , kufundwa na kuelekezwa atakuwa kiongozi bora kabisa.

Sisi vijana tunajivunia sana kuwa na hawa viongozi wanaoonesha mfano kwamba vijana tukipewa dhamana ya kuwaongoza Watanzania tunaweza. Hivi Mawaziri wengine na Wakuu wa Mikoa wanajisikiaje wenzao wanapokuwa wanachapa kazi kwa kuwasaidia wanyonge wa nchi hii na wao wapo tu!!? Ingekuwa ni mimi ningeiga wanayofanya sio vibaya au aibu kuiga mambo mazuri kutoka kwa mwenzako.

Kama kuna namna Mh. Rais anaweza kuona post hii tafadhali na aione.
Naunga mkono hoja.
p
 
Jerry unapima upepo sio???
Subiri siku ukidhulumiwa Aridhi au haki yako na wababe wa Nchi hii ndiyo utajua kama kweli Muheshimiwa Silaa anapima upepo au hewa! Usiombe yakukute, wwe endelea kuyasikia tu kupitia mitandao ukidhani watu wanafanya Bongo Movie !!
 
Ki msingi uko sahihi, ila hoja yangu ni kwamba, tuangalie tulijikwaa wapi na siyo tumeangukia wapi. Kuondoa umaskini kunahitaji kujitathmini kama taifa na kuwe na utashi wa kisiasa. Mfumo sahihi wa kujitawala utaleta uwajibikaji. Sadly hawa walioko kwenye utawala hawataki kusikia kwamba mfumu huu hauna tija. Wakitokea watendaji wawili / watatu wakifanya vyema wakiondoka/kuondolewa tunajikuta kule kule.
Kwanini tusiidai Katiba mpya bila ya kumumunya maneno?
 
Haya ndio mapungufu tuliyonayo sisi waafrika.

Tunajenga watu badala ya taasisi.

Tutachelewa sana.
 
Back
Top Bottom