Aiseee, Ww ni KE au MEHello.. karibuni sana wote ambao mnahitaji huduma ya massage. Nipo mm na wenzangu. Tuna timu yetu mikoa mbali mbali. Mimi binafsi nipo dar es salaam. Namba yangu ni 0787264085. Karibuni sana wote kwa huduma nzuri.
Asante
Nasoma commentsJe massage ya body to body ipo na ni bei gani?
Nime uliza kwa niaba ya 007 Vishu Mtata a.k.a boyka wa vikindu, mwenye nyumba uchwara Half american na wachaga wa daslam kina Mpaji Mungu na MIN-me
Kwa nature ya kazi yangu massage ni muhimu, huyu binti nitamtafuta aisee.Je massage ya body to body ipo na ni bei gani?
Nime uliza kwa niaba ya 007 Vishu Mtata a.k.a boyka wa vikindu, mwenye nyumba uchwara Half american na wachaga wa daslam kina Mpaji Mungu na MIN-me
Kwanza kufanyiwa mpapaso na Me unakubali vipi 😂😂Wewe wa kike au kiume? Tuanzie hapo kwanza, nisije lete mkitambi wangu nifanyiwe massage halafu nakukuta ni dume mwenzangu na mtambi wake pia.
Raha ya massage ufanyiwe na mikono laini ya kike.
Mpaji Mungu kume anza kuchangamka😂🤣Kwa nature ya kazi yangu massage ni muhimu, huyu binti nitamtafuta aisee.