Nataka Profesa Janabi ashindwe kiti cha Ukurugenzi wa WHO

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,863
36,908
Huyu Prof. Janabi nataka ashindwe hicho kiti cha Ukurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika. Nataka ashindwe maana anawakilisha nchi isiyoheshimu utawala kwa kufuata haki zilizo kwenye katiba.

Pamoja na katiba yetu hii mbovu lakini bado utawala wa CCM umeshindwa kuifuata na kuzidi kudidimiza haki. Hivyo Janabi ni kioo cha maovu hayo. Nataka ashindwe na atashindwa tu.

Wewe JK zunguka nae weee ila atashindwa tu na atashindwa kwa sababu ya utawala mbovu wa Samia. Ashindwe kabisa arudi Muhimbili kuongelea vyakula na bia. Ashindwe tena!

Tunaendelea kusisitiza kuwa wana CCM msitarajie kuwa mtajiachia siku ya uchaguzi. Tutawavurugeni kweli kweli. Tutakuwepo!
 
Na atashindwa sasa
1745057663203.png
 
Huyu Prof. Janabi nataka ashindwe hicho kiti cha Ukurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika. Nataka ashindwe maana anawakilisha nchi isiyoheshimu utawala kwa kufuata haki zilizo kwenye katiba.

Pamoja na katiba yetu hii mbovu lakini bado utawala wa CCM umeshindwa kuifuata na kuzidi kudidimiza haki. Hivyo Janabi ni kioo cha maovu hayo. Nataka ashindwe na atashindwa tu.

Wewe JK zunguka nae weee ila atashindwa tu na atashindwa kwa sababu ya utawala mbovu wa Samia. Ashindwe kabisa arudi Muhimbili kuongelea vyakula na bia. Ashindwe tena!

Tunaendelea kusisitiza kuwa wana CCM msitarajie kuwa mtajiachia siku ya uchaguzi. Tutawavurugeni kweli kweli. Tutakuwepo!
Gentleman,
akishinda ama asiposhinda maisha ya kila mtanzania lazima ya endelea na serikali sikivu ya CCM lazima isonge mbele kuwatumikia wanainchi na waTanzania wote kama kawaida na bila kujali chuki, uropokaji au mayowe ya kibabaka au tapeli yeyote wa siasa nchini kuelekea uchaguzi Mkuu wa October 🐒
 
Kuna mambo kadha wa kadha naendelea kujifunza kupitia kinyang'anyiro hicho cha Mkurugenzi Kanda ya Africa kwa WHO.
 
Huyu Prof. Janabi nataka ashindwe hicho kiti cha Ukurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika. Nataka ashindwe maana anawakilisha nchi isiyoheshimu utawala kwa kufuata haki zilizo kwenye katiba.

Pamoja na katiba yetu hii mbovu lakini bado utawala wa CCM umeshindwa kuifuata na kuzidi kudidimiza haki. Hivyo Janabi ni kioo cha maovu hayo. Nataka ashindwe na atashindwa tu.

Wewe JK zunguka nae weee ila atashindwa tu na atashindwa kwa sababu ya utawala mbovu wa Samia. Ashindwe kabisa arudi Muhimbili kuongelea vyakula na bia. Ashindwe tena!

Tunaendelea kusisitiza kuwa wana CCM msitarajie kuwa mtajiachia siku ya uchaguzi. Tutawavurugeni kweli kweli. Tutakuwepo!
Mpelekeni Lema akagombanie si anazo sifa pia
 
Back
Top Bottom