Nataka nikapime DNA na mtoto asie wangu akiwa na mama yake kupima ukweli wa majibu ya Mkemia Mkuu

Billie

JF-Expert Member
Aug 13, 2011
13,599
22,783
Kumekuwa na uvumi mtaani kuwa ukienda kupima DNA kwa mkemia mkuu huwa wanataka uanzie USTAWI WA JAMII NA KWA MWANASHERIA AMA ORDER kutoka mahakamani ambapo unasikilizwa kwanza nia yako na uamuzi wako wa kwa nini unataka kupima DNA then unapewa majibu kutokana na doubting yako.

Mfano familia lets say umedoubt kuwa kuna mtoto mmoja sio wako kwa mkemia mkuu wanakupa majibu kuwa ni Positive kwa asilimia 99.something hata kama huyo mtoto mkeo alikubambikia hii ni kutokana na uvumi kuwa wanapunguza wimbi la kuvunjika kwa ndoa na watoto kukosa matunzo na hivyo wanakupa jibu la kuwa mtoto ni wako ili kukuongezea imani na kukuondolea mawazo hasi ili ndoa izidi kudumu.

Hivyo nimeamua kumchukua rafiki yangu wa kike ambae ni mwanasheria na mtoto wake tujifanye sisi ni wanandoa ili tukatest huu uvumi wa ofisi ya MKEMIA MKUU kutupa majibu ya uongo.

Nimeamua kuchukua hatua hii kwa sababu kubwa tatu ya kwanza why kila anae enda akitoka kwenye familia anakutana na jibu mtoto ni wake na pili Why kwenye report za mkemia mkuu upande wa DNA huwa wanasema statistics zinaonesha watu walioenda kupima DNA 40% watoto sio wao ila cha kushangaza hatuwaoni hao watu mtaani.

Ya tatu why majibu ya report ya DNA hupewi mkononi ili urudi nayo nyumbani wanakusomea tu then wanabaki nayo? Nataka kujua uhalali wa ofisi yetu tukufu ya MKEMIA mkuu inakosaje huruma na mwanaume mwaminifu na kumlea mwanamke mhuni kisa tu mtoto atateseka.

Mwanaume nae aonewe huruma ADA, MALEZI yanatesa pia kwa nini huyu mwanamke mhuni nae asimpelekee mzigo huyo mwanaume mhuni mwenzie. Wake zetu wanazaa sana na ma Ex wao na nikijibiwa kuwa mtoto ni wangu nataka niwafungulie kesi ofisi ya MKEMIA mkuu.

NAOMBENI USHAURI KABLA YA UAMUZI HUU NIPUNGUZE KIPI AU NIBORESHE KIPI ALAFU NIRUDI NA FEEDBACK KWENU KWA NIA NJEMA JAMANI.

Asanteni.
 
Dna za bongo ni za mchongo tulishawahi kufanya utafiti na wana. Kuna demu alitaka kumbambikia mtoto mshkaji wetu. Kesi ilikua kubwa na inaonekana demu anajua ilo suala la mfumo kulinda masilahi ya mwanamke na mtoto kwaiyo akakubali ipimwe DNA.

Kumbe wahuni tupo mbele ya muda. Tulifanya mpango wa kupata sampuli za mtoto tukatuma Nairobi kwenye maabara mbili tofauti. DNA ya bongo majibu yalikuja mtoto ni wa mshkaji, DNA za Nairobi zote zilionyesha mtoto sio wa mshkaji.

Ukitaka uthibitisho chukua sampuli nenda kapime Nairobi hapo. Hapa bongo utaingizwa chaka tu
Hili swala ni la kifala sana tunabebeshwa mizigo kipumbafu
 
Dna za bongo ni za mchongo tulishawahi kufanya utafiti na wana. Kuna demu alitaka kumbambikia mtoto mshkaji wetu. Kesi ilikua kubwa na inaonekana demu anajua ilo suala la mfumo kulinda masilahi ya mwanamke na mtoto kwaiyo akakubali ipimwe DNA.

Kumbe wahuni tupo mbele ya muda. Tulifanya mpango wa kupata sampuli za mtoto tukatuma Nairobi kwenye maabara mbili tofauti. DNA ya bongo majibu yalikuja mtoto ni wa mshkaji, DNA za Nairobi zote zilionyesha mtoto sio wa mshkaji.

Ukitaka uthibitisho chukua sampuli nenda kapime Nairobi hapo. Hapa bongo utaingizwa chaka tu
We nawe ni muongo
 
Dna za bongo ni za mchongo tulishawahi kufanya utafiti na wana. Kuna demu alitaka kumbambikia mtoto mshkaji wetu. Kesi ilikua kubwa na inaonekana demu anajua ilo suala la mfumo kulinda masilahi ya mwanamke na mtoto kwaiyo akakubali ipimwe DNA.

Kumbe wahuni tupo mbele ya muda. Tulifanya mpango wa kupata sampuli za mtoto tukatuma Nairobi kwenye maabara mbili tofauti. DNA ya bongo majibu yalikuja mtoto ni wa mshkaji, DNA za Nairobi zote zilionyesha mtoto sio wa mshkaji.

Ukitaka uthibitisho chukua sampuli nenda kapime Nairobi hapo. Hapa bongo utaingizwa chaka tu
Duuuh ni hatar sana
 
Kwa mkemia mkuu ana tofauti na IGP au jaji mkuu wanavoendesha mambo yao.

Kama unakumbuka walishawi kumwaga ngano ya bakharesa miaka ya nyuma wakidai ni mbovu ila walipokuja wataalamu serikali ililipa mabilioni ndio maana mkapa hakumpenda yule mzee mpaka kufa kwake.

Tasisi nyingi za serikali zinamatatizo tena ya kijinga
 
Dna za bongo ni za mchongo tulishawahi kufanya utafiti na wana. Kuna demu alitaka kumbambikia mtoto mshkaji wetu. Kesi ilikua kubwa na inaonekana demu anajua ilo suala la mfumo kulinda masilahi ya mwanamke na mtoto kwaiyo akakubali ipimwe DNA.

Kumbe wahuni tupo mbele ya muda. Tulifanya mpango wa kupata sampuli za mtoto tukatuma Nairobi kwenye maabara mbili tofauti. DNA ya bongo majibu yalikuja mtoto ni wa mshkaji, DNA za Nairobi zote zilionyesha mtoto sio wa mshkaji.

Ukitaka uthibitisho chukua sampuli nenda kapime Nairobi hapo. Hapa bongo utaingizwa chaka tu
Kwa faida ya wengine, tueleze utaratibu wa kutuma sample Nairobi. Pia tujue gharama na majina ya maabara zinazofanya vipimo hivyo.
 
Kumekuwa na uvumi mtaani kuwa ukienda kupima DNA kwa mkemia mkuu huwa wanataka uanzie USTAWI WA JAMII NA KWA MWANASHERIA AMA ORDER kutoka mahakamani ambapo unasikilizwa kwanza nia yako na uamuzi wako wa kwa nini unataka kupima DNA then unapewa majibu kutokana na doubting yako.

Mfano familia lets say umedoubt kuwa kuna mtoto mmoja sio wako kwa mkemia mkuu wanakupa majibu kuwa ni Positive kwa asilimia 99.something hata kama huyo mtoto mkeo alikubambikia hii ni kutokana na uvumi kuwa wanapunguza wimbi la kuvunjika kwa ndoa na watoto kukosa matunzo na hivyo wanakupa jibu la kuwa mtoto ni wako ili kukuongezea imani na kukuondolea mawazo hasi ili ndoa izidi kudumu.

Hivyo nimeamua kumchukua rafiki yangu wa kike ambae ni mwanasheria na mtoto wake tujifanye sisi ni wanandoa ili tukatest huu uvumi wa ofisi ya MKEMIA MKUU kutupa majibu ya uongo.

Nimeamua kuchukua hatua hii kwa sababu kubwa tatu ya kwanza why kila anae enda akitoka kwenye familia anakutana na jibu mtoto ni wake na pili Why kwenye report za mkemia mkuu upande wa DNA huwa wanasema statistics zinaonesha watu walioenda kupima DNA 40% watoto sio wao ila cha kushangaza hatuwaoni hao watu mtaani.

Ya tatu why majibu ya report ya DNA hupewi mkononi ili urudi nayo nyumbani wanakusomea tu then wanabaki nayo? Nataka kujua uhalali wa ofisi yetu tukufu ya MKEMIA mkuu inakosaje huruma na mwanaume mwaminifu na kumlea mwanamke mhuni kisa tu mtoto atateseka.

Mwanaume nae aonewe huruma ADA, MALEZI yanatesa pia kwa nini huyu mwanamke mhuni nae asimpelekee mzigo huyo mwanaume mhuni mwenzie. Wake zetu wanazaa sana na ma Ex wao na nikijibiwa kuwa mtoto ni wangu nataka niwafungulie kesi ofisi ya MKEMIA mkuu.

NAOMBENI USHAURI KABLA YA UAMUZI HUU NIPUNGUZE KIPI AU NIBORESHE KIPI ALAFU NIRUDI NA FEEDBACK KWENU KWA NIA NJEMA JAMANI.

Asanteni.

Taasisi nyingi sana za Serikali katika nchi hizi za kiAfrika huwa haziaminiki kabisa, watendaji wengi ni wale wababaishaji, hawazingatii kabisa maadili ya kitaaluma kuhusu taaluma zao.

Wewe ukitaka kupata uhakika kuhusiana na suala hili la Paternity ya watoto, Basi nakushauri utoke nje ya nchi hii na kwenda kufanya hiyo DNA Test katika nchi za nje zenye Wataalamu/ Watu waaminifu kwa kiasi kikubwa
 
Kwa maana hiyo waTanzania hawana Imani na Taasisi ya Serikali inayoitwa Mkemia mkuu.
Kwa maana hiyo waTanzania hawana Imani na Taasisi ya Serikali inayoitwa Mkemia mkuu.

Wananchi wa Tanzania siyo kwamba wamepoteza Imani dhidi ya Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali peke yake, bali Watu wengi zaidi tayari wamepoteza Imani dhidi ya Taasisi nyingi sana za Serikali na kupoteza Imani dhidi ya Serikali yote kabisa kwa ujumla wake. Ndio maana unaona kwamba malalamiko ya Wananchi ni mengi Sana wakiilalamikia Serikali iliyopo.
Na hii ni Hali ya hatari kubwa sana kwa Usalama wa nchi.
 
Kumekuwa na uvumi mtaani kuwa ukienda kupima DNA kwa mkemia mkuu huwa wanataka uanzie USTAWI WA JAMII NA KWA MWANASHERIA AMA ORDER kutoka mahakamani ambapo unasikilizwa kwanza nia yako na uamuzi wako wa kwa nini unataka kupima DNA then unapewa majibu kutokana na doubting yako.

Mfano familia lets say umedoubt kuwa kuna mtoto mmoja sio wako kwa mkemia mkuu wanakupa majibu kuwa ni Positive kwa asilimia 99.something hata kama huyo mtoto mkeo alikubambikia hii ni kutokana na uvumi kuwa wanapunguza wimbi la kuvunjika kwa ndoa na watoto kukosa matunzo na hivyo wanakupa jibu la kuwa mtoto ni wako ili kukuongezea imani na kukuondolea mawazo hasi ili ndoa izidi kudumu.

Hivyo nimeamua kumchukua rafiki yangu wa kike ambae ni mwanasheria na mtoto wake tujifanye sisi ni wanandoa ili tukatest huu uvumi wa ofisi ya MKEMIA MKUU kutupa majibu ya uongo.

Nimeamua kuchukua hatua hii kwa sababu kubwa tatu ya kwanza why kila anae enda akitoka kwenye familia anakutana na jibu mtoto ni wake na pili Why kwenye report za mkemia mkuu upande wa DNA huwa wanasema statistics zinaonesha watu walioenda kupima DNA 40% watoto sio wao ila cha kushangaza hatuwaoni hao watu mtaani.

Ya tatu why majibu ya report ya DNA hupewi mkononi ili urudi nayo nyumbani wanakusomea tu then wanabaki nayo? Nataka kujua uhalali wa ofisi yetu tukufu ya MKEMIA mkuu inakosaje huruma na mwanaume mwaminifu na kumlea mwanamke mhuni kisa tu mtoto atateseka.

Mwanaume nae aonewe huruma ADA, MALEZI yanatesa pia kwa nini huyu mwanamke mhuni nae asimpelekee mzigo huyo mwanaume mhuni mwenzie. Wake zetu wanazaa sana na ma Ex wao na nikijibiwa kuwa mtoto ni wangu nataka niwafungulie kesi ofisi ya MKEMIA mkuu.

NAOMBENI USHAURI KABLA YA UAMUZI HUU NIPUNGUZE KIPI AU NIBORESHE KIPI ALAFU NIRUDI NA FEEDBACK KWENU KWA NIA NJEMA JAMANI.

Asanteni.
Ccm ni 👉🏿💩 bora kukokotoa group za damu katika kujua mtoto ni wako au la kuliko kwa huyo mkemia
 
Back
Top Bottom