ALAGWA SAFI
New Member
- Nov 15, 2023
- 1
- 1
Mambo vipi wadau nataka kufuga ng'ombe wa kienyeji vijijini bajeti yangu milion 5.
Nataka ninunue ndama 1@150000tsh niwakuze kwa miaka 3 then niwauze je?
Ni changamoto gani nitakumbana nazo nijiadhari mapema.
Location yangu ni Dodoma
Nataka ninunue ndama 1@150000tsh niwakuze kwa miaka 3 then niwauze je?
Ni changamoto gani nitakumbana nazo nijiadhari mapema.
Location yangu ni Dodoma