Isaya wa njombe
Senior Member
- Apr 2, 2023
- 191
- 385
Asante sanaSoma na hiyo kazi usiache mpaka utapopopata kazi nyingine
Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
Mkuu funguka kidgo kwann nisiaomee haina maslai au ajira hakuna.Usisome iyo kozi itakula kwako ww nenda kasomee udereva nit utojutia...
Ajira zake ni adimu sana ukitaka za serikali ndo mpaka utumishi na anae omba ajira izo ni bandari tuu basi sasa c bora usome NIT driving tuu basi....Mkuu funguka kidgo kwann nisiaomee haina maslai au ajira hakuna.
Nssf unachukua mkuu ukienda na barua ya kuachishwa kazi mkuuHallo hizo hela za Nssf sio za kutegemea kwani kuzipata mpaka utapofikia 60yrs.... So komaa na kazi ila jaribu kuanzisha biashara, ishi kwa bajeti ndugu! punguza wamama na matumizi yasikuwa ya lazima!
Hapo nimekuelewa mkuu sina namna ngoja nipige driving ila nilikuwa nataman sana hiyo kazi.Ajira zake ni adimu sana ukitaka za serikali ndo mpaka utumishi na anae omba ajira izo ni bandari tuu basi sasa c bora usome NIT driving tuu basi....
Daaa ngoja nifatilie mana daa kuna hela zangu kitambo kima 2m, nilienda mwakajuzi wakanizingua!Nssf unachukua mkuu ukienda na barua ya kuachishwa kazi mkuu
ikiwa kama ajira yako ilikuwa ya ujuzi hawakupi wanahisi unaweza pata kazi muda wowote,ila kama ajira yako haihitaji ujuzi ndio wanakupa hela yakoNssf unachukua mkuu ukienda na barua ya kuachishwa kazi mkuu