Isaya wa njombe
Senior Member
- Apr 2, 2023
- 191
- 385
Kwema?
Niende kwenye mada.
Mimi kazi yangu nalipwa mshahara laki tatu 300k nipo DSM lengo la kuandika juu Uzi nataka nikasomee hiyo kozi hapo juu kuendesha mitambo ya bandari. Nimepata chuo kipo pale Kijitonyama(Ihet)
Lengo la juu Uzi naombeni ushauri NSSF nina m5 na chuo ada nimeambiwa 2350000 nataka niache kazi ili nichukue pesa kiasi niende shule, hofu yangu naombeni uzoefu.
Je, hii kozi soko la ajira likoje au ni mtambo? Ipi nikisomea angalau kuna upepo wa hata kupata deiwaka?
Nimefanya maamuzi hayo baada ya kuona mshahara wangu haukidhi mahtaji.
Pia sioni future kwenye maisha yangu, watu mnaopitapita bandarini ushauri wenu tafadhali
Ahsanteni.
Niende kwenye mada.
Mimi kazi yangu nalipwa mshahara laki tatu 300k nipo DSM lengo la kuandika juu Uzi nataka nikasomee hiyo kozi hapo juu kuendesha mitambo ya bandari. Nimepata chuo kipo pale Kijitonyama(Ihet)
Lengo la juu Uzi naombeni ushauri NSSF nina m5 na chuo ada nimeambiwa 2350000 nataka niache kazi ili nichukue pesa kiasi niende shule, hofu yangu naombeni uzoefu.
Je, hii kozi soko la ajira likoje au ni mtambo? Ipi nikisomea angalau kuna upepo wa hata kupata deiwaka?
Nimefanya maamuzi hayo baada ya kuona mshahara wangu haukidhi mahtaji.
Pia sioni future kwenye maisha yangu, watu mnaopitapita bandarini ushauri wenu tafadhali
Ahsanteni.