Nataka kujua kingereza ni njia gani nzuri?

LA7

JF-Expert Member
Aug 26, 2019
654
2,369
Kwa darasani kwa sasa ni ngumu kurudi labda naweza pata njia nyingine nzuri ya kufahamu hasa kusoma na kuongea.

Nataka kufanya hivo kwasababu zifuatazo

1. Napenda Sana kusoma na kuangalia habari za kimataifa.

2. Napenda kusikiliza miziki ya kingereza

3. Napenda kutazama movie za kingereza ambazo hazijatafsiriwa

4. Napenda tu kuijua hiyo lugha kwani nafikiria hapo baadae itakuwa na umuhimu kwangu kutokana na kazi yangu ya ufundi kwani muda mwingi huwa najifunza mtandaoni na masomo yote ni ya kingereza hivo video ndo marangingi zinanirahisishia

Mwisho karibia asilimia 90 hata kwenye visimbuzi chaneli ni zakingereza na habari nyingi ni za kimataifa ni za kingereza

Kama nitapata mwalimu pia nitashukuru.

Ila ajitolee ntamlipa kulingana na uwezo wangu
IMG_20250119_195403_156.jpg

IMG_20241229_165844_125.jpg


Elimu yangu mm ni Kama jina langu tu hapo Ila Nina idea kidogo hivo naamini sitamsumbua mwalimu kiasi hicho atakayepatikana.
 
Kwa darasani kwa sasa ni ngumu kurudi labda naweza pata njia nyingine nzuri ya kufahamu hasa kusoma na kuongea.

Nataka kufanya hivo kwasababu zifuatazo

1. Napenda Sana kusoma na kuangalia habari za kimataifa.

2. Napenda kusikiliza miziki ya kingereza

3. Napenda kutazama movie za kingereza ambazo hazijatafsiriwa

4. Napenda tu kuijua hiyo lugha kwani nafikiria hapo baadae itakuwa na umuhimu kwangu kutokana na kazi yangu ya ufundi kwani muda mwingi huwa najifunza mtandaoni na masomo yote ni ya kingereza hivo video ndo marangingi zinanirahisishia

Mwisho karibia asilimia 90 hata kwenye visimbuzi chaneli ni zakingereza na habari nyingi ni za kimataifa ni za kingereza

Kama nitapata mwalimu pia nitashukuru.

Ila ajitolee ntamlipa kulingana na uwezo wanguView attachment 3208061
View attachment 3208065

Elimu yangu mm ni Kama jina langu tu hapo Ila Nina idea kidogo hivo naamini sitamsumbua mwalimu kiasi hicho atakayepatikana.
Kila la kheri
 
Kwa darasani kwa sasa ni ngumu kurudi labda naweza pata njia nyingine nzuri ya kufahamu hasa kusoma na kuongea.

Nataka kufanya hivo kwasababu zifuatazo

1. Napenda Sana kusoma na kuangalia habari za kimataifa.

2. Napenda kusikiliza miziki ya kingereza

3. Napenda kutazama movie za kingereza ambazo hazijatafsiriwa

4. Napenda tu kuijua hiyo lugha kwani nafikiria hapo baadae itakuwa na umuhimu kwangu kutokana na kazi yangu ya ufundi kwani muda mwingi huwa najifunza mtandaoni na masomo yote ni ya kingereza hivo video ndo marangingi zinanirahisishia

Mwisho karibia asilimia 90 hata kwenye visimbuzi chaneli ni zakingereza na habari nyingi ni za kimataifa ni za kingereza

Kama nitapata mwalimu pia nitashukuru.

Ila ajitolee ntamlipa kulingana na uwezo wanguView attachment 3208061
View attachment 3208065

Elimu yangu mm ni Kama jina langu tu hapo Ila Nina idea kidogo hivo naamini sitamsumbua mwalimu kiasi hicho atakayepatikana.
TENSES ndio shughuli.
 
Kwa darasani kwa sasa ni ngumu kurudi labda naweza pata njia nyingine nzuri ya kufahamu hasa kusoma na kuongea.

Nataka kufanya hivo kwasababu zifuatazo

1. Napenda Sana kusoma na kuangalia habari za kimataifa.

2. Napenda kusikiliza miziki ya kingereza

3. Napenda kutazama movie za kingereza ambazo hazijatafsiriwa

4. Napenda tu kuijua hiyo lugha kwani nafikiria hapo baadae itakuwa na umuhimu kwangu kutokana na kazi yangu ya ufundi kwani muda mwingi huwa najifunza mtandaoni na masomo yote ni ya kingereza hivo video ndo marangingi zinanirahisishia

Mwisho karibia asilimia 90 hata kwenye visimbuzi chaneli ni zakingereza na habari nyingi ni za kimataifa ni za kingereza

Kama nitapata mwalimu pia nitashukuru.

Ila ajitolee ntamlipa kulingana na uwezo wanguView attachment 3208061
View attachment 3208065

Elimu yangu mm ni Kama jina langu tu hapo Ila Nina idea kidogo hivo naamini sitamsumbua mwalimu kiasi hicho atakayepatikana.
Nenda Uingereza au Kanada
 
Kwa darasani kwa sasa ni ngumu kurudi labda naweza pata njia nyingine nzuri ya kufahamu hasa kusoma na kuongea.

Nataka kufanya hivo kwasababu zifuatazo

1. Napenda Sana kusoma na kuangalia habari za kimataifa.

2. Napenda kusikiliza miziki ya kingereza

3. Napenda kutazama movie za kingereza ambazo hazijatafsiriwa

4. Napenda tu kuijua hiyo lugha kwani nafikiria hapo baadae itakuwa na umuhimu kwangu kutokana na kazi yangu ya ufundi kwani muda mwingi huwa najifunza mtandaoni na masomo yote ni ya kingereza hivo video ndo marangingi zinanirahisishia

Mwisho karibia asilimia 90 hata kwenye visimbuzi chaneli ni zakingereza na habari nyingi ni za kimataifa ni za kingereza

Kama nitapata mwalimu pia nitashukuru.

Ila ajitolee ntamlipa kulingana na uwezo wanguView attachment 3208061
View attachment 3208065

Elimu yangu mm ni Kama jina langu tu hapo Ila Nina idea kidogo hivo naamini sitamsumbua mwalimu kiasi hicho atakayepatikana.
Weka bidii kusoma vitabu vya kiingereza cha awali. Nunua vitabu hivyo na kamusi ya English to Kiswahili. Tafuta mwalimu wa lugha mtaani kwako akupe darasa angalau mara 3 kwa wiki.
 
Soma vitabu vya awali,ongea na anayejua upate uzoefu,sikiliza kupitia tv,radio mara nyingi uwezavyo,.
Pia jifunze kwakuingia internet,peruzi, Google,tumia chartgpt kujifunza,ikibidi tafuta wa kukufundisha kama hujui, ubarikiwe.
 
Mbona wachina hawalii?
Wahindi je?
Wajapan?
Wakorea?
Warussi?

Jivunie cha kwako utasema labda hizo nlizotaja zina maendeleo ila hata wao hawajikuta wako hapo ila walipambana na walijali vya kwao.
Jibu zuri sana. Utumwa sio lazima ulimishwe mashamba ya mkonge. Hata kudhani kwamba lugha yako ni umaskini huo ni utumwa tosha. Jivunie cha kwako kwanza!
 
Jibu zuri sana. Utumwa sio lazima ulimishwe mashamba ya mkonge. Hata kudhani kwamba lugha yako ni umaskini huo ni utumwa tosha. Jivunie cha kwako kwanza!
Kabisa mkuu nawachukia sana watu wasiojivunia na kujali vya kwao.
 
Back
Top Bottom