The realy Ngosha
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 340
- 529
Mkuu hiko kitu kingalia kina faida gani nikikija?Vua nguo zako zote majira ya saa tisa za usiku
washa mishumaa kumi na mbili weka umbo la duara kaa kati kati yake
sema maneno haya
"ewe abigail nakupigia simu hii kwako
kukuomba unikubalie niwe mwanafunzi wako,
niweze kuwa mmoja kati ya washirika wako,
dunia na mbingu zote zijue uwepo wako,
kiunyeyekevu ninakuja kwako"
unasema mara 12
kama namba za mishumaa ile ilivyo halafu unapiga namba hii
(702) 450-0021
anaitwa Abigail McBride
Napenda kujua magic inayotumia uchawi plz.Magic ni kiini macho lkn c uchawi, lkn pia kuna magic inayotumia uchawi,
Sasa masharti ni tofauti na cjui wewe ungependa kujua magic ipi ili nikupe mwanzo mzuri
Shukrani zangu kwakoVua nguo zako zote majira ya saa tisa za usiku
washa mishumaa kumi na mbili weka umbo la duara kaa kati kati yake
sema maneno haya
"ewe abigail nakupigia simu hii kwako
kukuomba unikubalie niwe mwanafunzi wako,
niweze kuwa mmoja kati ya washirika wako,
dunia na mbingu zote zijue uwepo wako,
kiunyeyekevu ninakuja kwako"
unasema mara 12
kama namba za mishumaa ile ilivyo halafu unapiga namba hii
(702) 450-0021
anaitwa Abigail McBride
mshana jr husika na habari hapo juu
Sitaki kumpeleka mahali ambako kutoka itahitaji guts za kutoshaMshana jr msaada uku...
Afanaaleki!!!Vua nguo zako zote majira ya saa tisa za usiku
washa mishumaa kumi na mbili weka umbo la duara kaa kati kati yake
sema maneno haya
"ewe abigail nakupigia simu hii kwako
kukuomba unikubalie niwe mwanafunzi wako,
niweze kuwa mmoja kati ya washirika wako,
dunia na mbingu zote zijue uwepo wako,
kiunyeyekevu ninakuja kwako"
unasema mara 12
kama namba za mishumaa ile ilivyo halafu unapiga namba hii
(702) 450-0021
anaitwa Abigail McBride
Magic na Uchawi ni kitu kilekile tofauti yake ni lugha tuu, labda Kama ungesema unataka Uchawi wa namna ganiNapenda kujua magic inayotumia uchawi plz.
Mkuu nakuona huku mara moja nipate maneno yako machacheMagic na Uchawi ni kitu kilekile tofauti yake ni lugha tuu, labda Kama ungesema unataka Uchawi wa namna gani
Wa kitabu?
Wa majini?
wa mizimu?
Wa tunguli?
Au mchanganyiko?
Mshana mimi nataka nijifunze simple magic trick zisizo tumia uchawi mfano hizi za card au kupoteza coin nikitoka kwenye level ya u beginer ndo ntafikiria nianze na uchawi au lahMagic na Uchawi ni kitu kilekile tofauti yake ni lugha tuu, labda Kama ungesema unataka Uchawi wa namna gani
Wa kitabu?
Wa majini?
wa mizimu?
Wa tunguli?
Au mchanganyiko?
Duh! Serious?Vua nguo zako zote majira ya saa tisa za usiku
washa mishumaa kumi na mbili weka umbo la duara kaa kati kati yake
sema maneno haya
"ewe abigail nakupigia simu hii kwako
kukuomba unikubalie niwe mwanafunzi wako,
niweze kuwa mmoja kati ya washirika wako,
dunia na mbingu zote zijue uwepo wako,
kiunyeyekevu ninakuja kwako"
unasema mara 12
kama namba za mishumaa ile ilivyo halafu unapiga namba hii
(702) 450-0021
anaitwa Abigail McBride
Mkuu nakuomba maramoja upate kupita hapa unipe maono yako juu ya hii kituVua nguo zako zote majira ya saa tisa za usiku
washa mishumaa kumi na mbili weka umbo la duara kaa kati kati yake
sema maneno haya
"ewe abigail nakupigia simu hii kwako
kukuomba unikubalie niwe mwanafunzi wako,
niweze kuwa mmoja kati ya washirika wako,
dunia na mbingu zote zijue uwepo wako,
kiunyeyekevu ninakuja kwako"
unasema mara 12
kama namba za mishumaa ile ilivyo halafu unapiga namba hii
(702) 450-0021
anaitwa Abigail McBride
Ukianza utanogewa ila vipo vyuo vinavyofundisha hizo habari kuna post yake humu ngoja nitaitafuta kisha takutagMshana mimi nataka nijifunze simple magic trick zisizo tumia uchawi mfano hizi za card au kupoteza coin nikitoka kwenye level ya u beginer ndo ntafikiria nianze na uchawi au lah
Tafadhal km una mtu anayepeform show za mazingambwe naomba namba yake
Asante