Nataka kuingia rasmi kwenye ufalme na kupata utajiri wa shetani

Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
 
Wasiliana na Nasibu Abdul.
 
Yupo mkafiri mkoa x ukitimiza mashart anakupa mkopo wa milioni 40 Kama mtaji au zaidi kutokana na biashara unayotaka kuanzisha. Wengi huchukua 50 ili wanunua mafuso au makoster na mabasi waanze kuvuna pesa mapema.
Ila mzee, sahau nyumba ndogo, sahau mchepuko au Malaya, wewe Ni mkeo tu halafu mtunze atunzike asiugue Wala kufa mapema.
Sharti la pili ndio gumu na ndio linalowafanya wengi kushindwa.
 
Pole sana mkuu!

Najua unachopitia ni kigumu sana!

Umri unaenda mkeo /ndugu wanakudharau maisha hayaeleweki unajitoa mhanga Kwa lusifa Ili ufanikiwe faster na utoweke faster pia!!
 
Be careful what you wish for
 
Imebidi ni-scrow juu kuona jina lako, nilivyoona pesakilakitu nikapata jibu!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…