kengeledoi
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 325
- 230
Mkuu,hayo maji tukuchotee tukuachie ndani au??
Asante nzalendo hiyo ipo maeneo ya wapiNjoo goms 80,000
unapata maji bomba nje choo ndani bafu ndani
tiles na gypsum ya kufufuka ntu
yap, kodi iwe miezi 6 mkuuUwezo wako wa kulipa ni kiasi gani?,wewe ni binti sio?...
MOmbasa unapanda gari za moshi bar..kituo hospitali lami mpaka mlangoni.Asante nzalendo hiyo ipo maeneo ya wapi
MOmbasa unapanda gari za moshi bar..kituo hospitali lami mpaka mlangoni.
Mkuu natafuta nyumba ya kupanga ila iwe na maji ya bomba pia nyumba iwe na fensiMkuu,kwahiyo tukuchotee ya bomba na sio ya kisima??
Mkuu,unatafuta nyumba,upange,nyumba hiyo iwe na bomba linalotoa maji..Mkuu natafuta nyumba ya kupanga ila iwe na maji ya bomba pia nyumba iwe na fensi
100K - 150KOfa yako kwa mwezi ni sh ngapi?