Natafuta nyumba ya kupanga

kengeledoi

JF-Expert Member
May 27, 2016
325
230
Msaada wadau natafuta nyumba ya kupanga chumba na sebule yenye choo cha ndani.
maeneo ya kimara ila isiwe mbali na main road pia maji yawepo.

Asanteni sana.
 
Unataka Nyumba yenye maji Kimara? Be specific ya bomba au ya kisima??
 
Njoo goms 80,000
unapata maji bomba nje choo ndani bafu ndani
tiles na gypsum ya kufufuka ntu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…