kelvin miho JF-Expert Member Dec 9, 2016 281 134 May 7, 2017 #1 Jamani habarini zenu wakuu, Samahani nina CPU yangu imeunguza video card ilipigwa na rad if kama kuna wauzaji wa accessories za computer nisaidieni location Tukuyu, Mbeya.
Jamani habarini zenu wakuu, Samahani nina CPU yangu imeunguza video card ilipigwa na rad if kama kuna wauzaji wa accessories za computer nisaidieni location Tukuyu, Mbeya.
Mwl.RCT JF-Expert Member Jul 23, 2013 14,611 20,637 May 7, 2017 #2 kelvin miho said: Jaman habarin zenu waku samahan nna CPU yangu imeunguza video card ilipigwa na rad if kama kuna wauzaj wa accessories za computer nisaidien location tukuyu,mbeya Click to expand... Tafuta hapa EBAY kisha fuata taratibu za manunuzi HAPA KARIBU
kelvin miho said: Jaman habarin zenu waku samahan nna CPU yangu imeunguza video card ilipigwa na rad if kama kuna wauzaj wa accessories za computer nisaidien location tukuyu,mbeya Click to expand... Tafuta hapa EBAY kisha fuata taratibu za manunuzi HAPA KARIBU
kelvin miho JF-Expert Member Dec 9, 2016 281 134 May 7, 2017 Thread starter #3 Shukran mkuu kwanza njarbu
msold msward JF-Expert Member Oct 10, 2016 595 202 May 8, 2017 #4 Kununua eBay mm nashindwa nisaidie mkuu
tomby Senior Member Apr 6, 2017 109 143 May 8, 2017 #5 Kuna jamaa anauza kkoo, ila yenyew n ndog inauzwa 35K, ni duka limetazaman na kanisa flan la kilutheri, wanauza PC za mtumba pale!
Kuna jamaa anauza kkoo, ila yenyew n ndog inauzwa 35K, ni duka limetazaman na kanisa flan la kilutheri, wanauza PC za mtumba pale!
kelvin miho JF-Expert Member Dec 9, 2016 281 134 May 14, 2017 Thread starter #6 msold msward said: Kununua eBay mm nashindwa nisaidie mkuu Click to expand... Nam nimechemka ndugu ila bidhaa yenyewe nshaiona shughili kuimalzia
msold msward said: Kununua eBay mm nashindwa nisaidie mkuu Click to expand... Nam nimechemka ndugu ila bidhaa yenyewe nshaiona shughili kuimalzia
kelvin miho JF-Expert Member Dec 9, 2016 281 134 Sep 24, 2018 Thread starter #7 tomby said: Kuna jamaa anauza kkoo, ila yenyew n ndog inauzwa 35K, ni duka limetazaman na kanisa flan la kilutheri, wanauza PC za mtumba pale! Click to expand... Aanteee
tomby said: Kuna jamaa anauza kkoo, ila yenyew n ndog inauzwa 35K, ni duka limetazaman na kanisa flan la kilutheri, wanauza PC za mtumba pale! Click to expand... Aanteee