Natafuta nafasi ya kazi

Mediaty

Member
Aug 10, 2023
33
33
Habari za wakati huu wanajamii forum? Mi niko vyema kabisa!

Kwa mara nyingine tena, nakuja kwenu, lengo ni kutafuta fursa ya kazi yoyote halali.

Nina experience ya marketing and promo strategies kwa miezi kadhaa. Kuuza kwenye store za nguo, vyombo na vifaa vya electronic. Lakini pia ni creative content writer (story au script writer) kwa kazi za sanaa. Nina elimu ya uandishi wa script kutoka pale Nafasi Art Space kama volunteer.

Kazi ambazo nimewahi fanya kwa muda mrefu sana ni; kuuza kwenye library za kuuza filamu zikifuatia zingine nilizotajwa hapo juu.

Kwa mwenye connection ya kazi naombeni. Sio lazima iwe kati ya hizo tajawa hapo juu.

0714143704 napatikana kwa mawasiliano hayo.

Siku njema.
 
Nilipata mkuu....
Sehemu ya kawaida tu..

Assume tuu aliyetupokea an supervisor wetu anasema mnaweza kuja au kama mna mambo yenu mnaweza kufanya hata msipokuja poa tu...๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚



Aisee kweli bongo kikubwa UZIMA
 
Na mimi ni join ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜…
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Alafu wewe na bichwa hilo...
Soon umetoka kuniita et ""njoo huku kuna kazi"""

Hilo group join to ule shavu kazi kila siku watu wanatoka
 
Yaaah ila nimejikita katika biashara yangu dr sasa hv mambo ni mukide mukide..
Plas semen retention daaah hali safiiii



Una akili Sana sasa sijui kwanini ulijiita poor brain


Maana kwa akili ulizonazo ulibidi ukiajiriwa ulipwe mshahara mkubwa Sana tofauti na hapo bora ujiajiri
 
Una akili Sana sasa sijui kwanini ulijiita poor brain


Maana kwa akili ulizonazo ulibidi ukiajiriwa ulipwe mshahara mkubwa Sana tofauti na hapo bora ujiajiri
Mkuu wee acha tuu.....
Naamini katika kujiajiri japo waajiriwa wenzetu wanakua wana ile costant ya pesa zao..

Ndo mana wengi wao huwa wanatafuta sehemu nyingine ya kupata chochote kitu...

Na kama kuajiriwa inshaallah ikitokea aaah mapema tu...
Ila sio kwa kuitafuta. Nataka kazi zangu ndo zifanye wanitafute
 
Mkuu wee acha tuu.....
Naamini katika kujiajiri japo waajiriwa wenzetu wanakua wana ile costant ya pesa zao..

Ndo mana wengi wao huwa wanatafuta sehemu nyingine ya kupata chochote kitu...

Na kama kuajiriwa inshaallah ikitokea aaah mapema tu...
Ila sio kwa kuitafuta. Nataka kazi zangu ndo zifanye wanitafute



Prophetic CODE:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom