Tommy 911
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 600
- 510
habarini Wana jf. mimi ni kijana wa miaka 23 nasoma bsc chemistry,Mwenge catholic university natalajia kumaliza chuo mwezi wa nane mwaka huu(2024). hivyo basi natafuta sehem ya kufany internship iwe kiwandan au migodoni kote nafany as quality controller, lab scientist and chemist.
mwenye kujua namna ya kupat internship kwa urahisi msaada tafadhali.
mwenye kujua namna ya kupat internship kwa urahisi msaada tafadhali.