Natafuta mume

Mwajey123

Member
Mar 23, 2017
20
23
Kama huna sifa au unatafuta mtu wa kujitimizia haja ya mwili wako naomba ukae pembeni/Usi pm!
 

Attachments

  • 1569069838471.png
    432 bytes · Views: 34
Samahani imekuwaje umekaa umri wote huo hujawahi kuolewa..!?
Ilihali elimu yako ni kidato cha nne..!?
 
Samahani imekuwaje umekaa umri wote huo hujawahi kuolewa..!?
Ilihali elimu yako ni kidato cha nne..!?

Siku zoote taarifa zina sema kuwa; wanawake ni wengi kuliko wanaume
Hivyo ni lazima tukubali kuwa, sio wote wataolewa/wataolewa kwa wakati sawa

Naunga hoja ya waislamu kuoa mke zaidi ya mmoja pale mazingira yanapo ruhusu ili kufanya dada zetu wote waingie kwenye ndoa salama
 
Kwanini mnaweka kikwazo cha umri hata kama kijana wa miaka 20 kasha jipanga na yuko teyari anaweza kukuoa tu hivi huwa hamwoni mfano kwa Diamond na Zari.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…