xfactor JF-Expert Member Jan 25, 2014 1,511 1,289 Mar 15, 2016 #1 Heshima yenu wakuu Kama kichwa kinavyo jieleza, natafuta mihogo ninunue ambayo imesha vunwa
Smokey D JF-Expert Member Jan 30, 2013 2,632 2,108 Mar 15, 2016 #3 Embu weka mnofu kwenye thread..mihogo ya kununua au unataka bure...
Raimundo JF-Expert Member May 23, 2009 13,416 12,618 Mar 15, 2016 #4 Dah, bahati mbaya Dr Mihogo kagoma kurudi Bongo, angesaidia.
W wiser1 JF-Expert Member Aug 6, 2015 2,541 3,872 Mar 15, 2016 #5 mkuu unanunua ama?..ni PM km unanunua
xfactor JF-Expert Member Jan 25, 2014 1,511 1,289 Mar 16, 2016 Thread starter #6 Smokey D said: Embu weka mnofu kwenye thread..mihogo ya kununua au unataka bure... Click to expand... wiser1 said: mkuu unanunua ama?..ni PM km unanunua Click to expand... Wakuu nanunua, Tangu lini dunia ikawa na vitu vya bure hii?
Smokey D said: Embu weka mnofu kwenye thread..mihogo ya kununua au unataka bure... Click to expand... wiser1 said: mkuu unanunua ama?..ni PM km unanunua Click to expand... Wakuu nanunua, Tangu lini dunia ikawa na vitu vya bure hii?
xfactor JF-Expert Member Jan 25, 2014 1,511 1,289 Mar 16, 2016 Thread starter #7 Sumu said: Njoo huku Bungu, Rufiji uichukue. Click to expand... Huko ni umbali gani kutoka jiji la Makonda? Na unauzaje hyo mihogo?
Sumu said: Njoo huku Bungu, Rufiji uichukue. Click to expand... Huko ni umbali gani kutoka jiji la Makonda? Na unauzaje hyo mihogo?
hindustan Senior Member Oct 15, 2014 184 181 Aug 21, 2016 #9 Kaka mie nina mihogo kisarawe,, je bado wahitaji?,
Inamonga JF-Expert Member Jun 25, 2016 779 474 Aug 21, 2016 #10 hindustan said: Kaka mie nina mihogo kisarawe,, je bado wahitaji?, Click to expand... Ni aina gani na una uzaje?
hindustan said: Kaka mie nina mihogo kisarawe,, je bado wahitaji?, Click to expand... Ni aina gani na una uzaje?
hindustan Senior Member Oct 15, 2014 184 181 Aug 21, 2016 #11 Mbegu inaitwa kikapu tele na haina mizizi na ni milaini,, bei bado sijapanga ndo naangalia soko likoje,,, wewe waweza nipa bei yako alafu nitapima,,
Mbegu inaitwa kikapu tele na haina mizizi na ni milaini,, bei bado sijapanga ndo naangalia soko likoje,,, wewe waweza nipa bei yako alafu nitapima,,
Inamonga JF-Expert Member Jun 25, 2016 779 474 Aug 21, 2016 #12 hindustan said: Mbegu inaitwa kikapu tele na haina mizizi na ni milaini,, bei bado sijapanga ndo naangalia soko likoje,,, wewe waweza nipa bei yako alafu nitapima,, Click to expand... Hahahahaaaaaa....!!! yani wewe una bidhaa alafu hujui unauzaje..!!
hindustan said: Mbegu inaitwa kikapu tele na haina mizizi na ni milaini,, bei bado sijapanga ndo naangalia soko likoje,,, wewe waweza nipa bei yako alafu nitapima,, Click to expand... Hahahahaaaaaa....!!! yani wewe una bidhaa alafu hujui unauzaje..!!
quadraqoraman Senior Member Aug 11, 2016 105 89 Aug 23, 2016 #13 Inamonga said: Hahahahaaaaaa....!!! yani wewe una bidhaa alafu hujui unauzaje..!! Click to expand... Mm ninayo Mihogo anayehitaji ani pm KG 2000. Serious..
Inamonga said: Hahahahaaaaaa....!!! yani wewe una bidhaa alafu hujui unauzaje..!! Click to expand... Mm ninayo Mihogo anayehitaji ani pm KG 2000. Serious..