Sio mashauzi ndugu,ni lazma kabla mchumbaangu mtarajiwa hajafanya maamuzi lazma awe na ABC za mumuwe mtarajiwa.Mmmh mbona mashauzi hvo khaa
Umeshapa mpka dk hii???nikuambie kitu,jaribu kusema na Mungu kakangu nae atakuonesha aliye wako,.ila kwa kuwa una nyumba na gari tutakuja wengi pmHapa hapa nitapata mkuu,naamini hivyo.
ahsante kwa maneno yako ya faraja,mungu atakubarikiUmeshapa mpka dk hii???nikuambie kitu,jaribu kusema na Mungu kakangu nae atakuonesha aliye wako,.ila kwa kuwa una nyumba na gari tutakuja wengi pm
Amina,tubarikiwe sote.ahsante kwa maneno yako ya faraja,mungu atakubariki
Bora sie wa mikoani.Wanaume mnaoishi dar bwana tabu sana
KWAHIYO HUYU KABEBA TASWIRA YA WANAUME WA DARWanaume wa dar mna mbwembwe
Mmmh mbona mashauzi hvo khaa
ndugu mbona unarusha vijembe,au unataka kuchukua hiyo nafasi wewe, kama huna cha kucomments kaa kimya kutunza heshima yako mkuu.Kumbe nyumba gari bongo ni kipimo cha maisha ya standard "