Natafuta mchumba/ Mke

Break-in

JF-Expert Member
Jan 23, 2025
213
336
Wana Jf nimechoka na ukapela
Kwa ufupi tu

Nilioa na ndoa yangu imevunjika miaka mitatu iliyopita.

Tuligawana tulivyo chuma kila mtu ana maisha yake na kwake

Nimejipa time ya kujiangalia na ushauri wa wazee ninaona napaswa kuoa tena ni jenge familia tulivu

Vigezo
Umri:Miaka 30-40
Dini: Yoyote
Elimu:Form 4 >

Sifa zangu
Umri:40
Elimu:Shahada ya kwanza
Dini:Mkristo
Mkoa: Dar
Watoto :2
Kazi:Biashara

Karibu PM
 
Wana Jf nimechoka na ukapela
Kwa ufupi tu

Nilioa na ndoa yangu imevunjika miaka mitatu iliyopita.

Tuligawana tulivyo chuma kila mtu ana maisha yake na kwake

Nimejipa time ya kujiangalia na ushauri wa wazee ninaona napaswa kuoa tena ni jenge familia tulivu

Vigezo
Umri:Miaka 30-40
Dini: Yoyote
Elimu:Form 4 >

Sifa zangu
Umri:40
Elimu:Shahada ya kwanza
Dini:Mkristo
Mkoa: Dar
Watoto :2
Kazi:Biashara

Karibu PM
Killa la heri mpenzi, pole sn na yote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom