Natafuta kazi yoyote Kilimanjaro na Dar es Salaam

tinywhite

Member
Nov 7, 2022
69
60
Naitwa martine niko Moshi miaka 20 elimu certificate ya Irrigation Engineer, natafuta kazi naongea lugha 4 Spanish, English, Kiswahili na Kichaga. Hata ukondokta mabus ya mkoani.
 
Nenda kwenye maduka ya wachaga wenzio kariakoo, au nenda kwenye kampuni za mabasi uwe unapakua mizigo bure , badae wakikuzoea ndo wanakusogeza kuwa konda , hv hv bila connection utakunywa Sana mbege
Na kweli hapo hapo wazo zuri
 
Kama mnasaidia tuoeni mambo ya grammar mwachieni rasi Simba lugha ya watu iyo
Hakuna tatizo kubwa linaloisumbua nchi yetu kama watu kukosa umakini katika mambo wanayofanya, kulipua a.k.a. bora liende. Na ukitaka kupima umakini wa mtu unaangalia details ndogo ndogo. Anayefeli kwenye details ndogo ndogo basi hata mambo makubwa atakosea. Imagine mtu anasoma mpaka chuo kikuu lakini anaandika ''halusi'' badala ya ''harusi''.
 
Mwamba unaongea lugha nne halafu unakuja kuomba kazi huku wakati huko Moshi ulipo ndio home of tourism.Are you serious mjomba?

Si uende kwenye makampuni ya utalii ukaombe kazi huko kwani hizo lugha unazozijua zitakubeba pakubwa kama kweli unazijua.
Connection! Nimejabu kutuma barua hazijajibiw mwez w 4 huu toka niomb
 
Mwamba unaongea lugha nne halafu unakuja kuomba kazi huku wakati huko Moshi ulipo ndio home of tourism.Are you serious mjomba?

Si uende kwenye makampuni ya utalii ukaombe kazi huko kwani hizo lugha unazozijua zitakubeba pakubwa kama kweli unazijua.
Hii nchi ni ngumu wala simshangai,mimi nimetuma applications mpaka nimechoka
 
Una Certificate ya irrigation alafu hata sioni kama umeongelea kazi ya Kilimo, au hiyo huitaki?.
 
Back
Top Bottom