Mimi ni kijana wa kike, elimu yangu ni ya chuo kikuu (BSc in chemical and process engineering 2010 UDSM) nina uzoefu mzuri na mambo ya quality control hasa kwenye viwanda vya chakula. Kazi sio lazima iendane na profession yangu! Kama kuna mtu anay3jua sehemu kuna chance anitaarifu kupitia PM! Natanguliza shukrani zangu.