Natafuta coster 17 za kukodi kwa ajili ya shule mkataba mwaka mmoja

jerryempire

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
5,529
9,547
Habari.
Tunatafuta gari aina ya coaster ziwe gari 17 pamoja na hiace moja kwa ajili ya kuwachukua wanafunzi shuleni na kuwarudisha nyumbani.

Hivyo basi tunahitaji kampuni moja yenye kuweza kumanage huu mkataba ambayo itakuwa na uwezo wa kuwa na gari zote hizo 17 na hiace 1.

Mkataba ni mwaka mwaka yani kila mwaka ukiisha tuna renew mkataba kutokana na sababu zitazojitokeza kama gharama za uendeshaji nk.

Gharama za malipo kwa siku ni 170k kwa gari kubwa yani laki na sabini elfu na 130k laki na thelathini kwa gari ndogo kwa siku.

Gharama za mafuta na dereva ni juu ya mmiliki lakini gharama za dada ni juu yetu kama shule.

Shule ipo boko na wanafunzi watakuwa wanapelekwa mbezi,bunju,kimara,upanga nk utapewa quotation.

Kwa ambaye anaiweza tenda hii wasiliana nami 0659756647 calls/whatsapp kwa ajili ya negotiation na mengineyo
 
Habari.
Tunatafuta gari aina ya coaster ziwe gari 17 pamoja na hiace moja kwa ajili ya kuwachukua wanafunzi shuleni na kuwarudisha nyumbani.

Hivyo basi tunahitaji kampuni moja yenye kuweza kumanage huu mkataba ambayo itakuwa na uwezo wa kuwa na gari zote hizo 17 na hiace 1.

Mkataba ni mwaka mwaka yani kila mwaka ukiisha tuna renew mkataba kutokana na sababu zitazojitokeza kama gharama za uendeshaji nk.

Gharama za malipo kwa siku ni 170k kwa gari kubwa yani laki na sabini elfu na 130k laki na thelathini kwa gari ndogo kwa siku.

Gharama za mafuta na dereva ni juu ya mmiliki lakini gharama za dada ni juu yetu kama shule.

Shule ipo boko na wanafunzi watakuwa wanapelekwa mbezi,bunju,kimara,upanga nk utapewa quotation.

Kwa ambaye anaiweza tenda hii wasiliana nami 0659756647 calls/whatsapp kwa ajili ya negotiation na mengineyo
Ingia WhatsApp
 
Zitapakwa rangi ya njano? If yes, what about weekends and likizo?
Kama zina vibali vya staff cars haina shida ila kama haina utapiga mkanda.

Weekend na skukuu hatuhitaji gari na hata usiku unaweza kuitumia kwa matumizi yako.

Ila asubuhi lazma ziwe barabarani kufata wanafunzi na jioni kuwarejesha
 
Maelezo yako yamenyooka.

Bei zako naona hazina faida kulinganisha na urefu na complications za ruti ulizozitaja. Maana kila mtoto anafatwa na kurudishwa jirani na anapoishi.

Ngumu kupata mtoa huduma kwa ajili yako pekee.
hivyo Ushauri wangu ungetumia mbinu ya kukodi daladala kama wanavyofanya olimpio

Wakati watoto wapo darasani gari zinarudi barabarani kupiga dala dala
 
Back
Top Bottom