Natafuta business partner (only serious person)

Njaa

JF-Expert Member
Dec 6, 2009
1,020
404
Hello Wanajamvi……

Nimekuwa na jitihada za kufungua biashara ya bucha la kisasa la samaki ambalo ndani yake kutakuwa na duka dogo la Cash-point (mobile money & internet banking), nje mitungi ya gesi. Vitu vifuatavyo tayari ninavyo (angalia picha…)
  • Frem ya kisasa
  • Leseni ya biashara
  • Mashine ya kukatia samaki
  • Ma-frezer ya kisasa
  • Mashine ya kukatia samaki na kuku
  • Line zote za mobile money (tigopesa, M-Pesa etc)
  • Mashine ya CRDB
  • Jina la biashara (Pluto fish point and wakala)
  • Partition ya butcher na wakala
  • Kodi miezi 3
Baada kufika level hii nikapata changamoto, kwa sasa sina hela ya kuingiza mzigo (supplier wa samaki na kuku), na mtaji wa cash point. Hivyo natafuta business partner tufanye kazi, tuingize hela pamoja tutengeneze makubaliano madogo tusongeshe wazo.

Naomba nikupe taarifa zifuatazo…
  • Mimi sio tapeli, ni mwajiliwa wa serikali na ninaheshimu partnership ya biashara
  • Location ya biashara ni nzuri sana
  • Pia ni mkulima mdogo
If interest please DM, kwa maswali zaidi please DM

Regards

Njaa
 

Attachments

  • IMG_20230410_155822.jpg
    3.1 MB · Views: 6
  • IMG_20230410_155842.jpg
    2.6 MB · Views: 3
  • IMG_20230410_155846.jpg
    2.7 MB · Views: 5
  • IMG_20230410_155916.jpg
    3.1 MB · Views: 5
  • IMG_20230410_160406.jpg
    3.2 MB · Views: 6
  • IMG_20230410_160428.jpg
    2.3 MB · Views: 7
Nashauri weka na sehemu ya viungia mboga
 
Upo mkoa gan na je unajua hali ya soko la samaki lilivo sasa ivi? nipo ktk hyo biashara nimefunga duka jana tu,mpk upepo utakapotulia..
 
"Location nzuri sana" hiyo kauli yako umejuaje? Umewahi kuleta mzigo ukatoka kwa wakati, kwa siku wastani una uza kilogram ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…