Nasimama na Mkuu wa mkoa wa Dar, kutukumbusha kuwajibika

ngara23

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
8,814
20,535
Leo watu wanamshambulia Mkuu wa mkoa wa Dar Kwa kumjibu mama mjamzito aliyeambiwa na wauguzi kuhusu kuchangia pesa ya kumnunulia gloves 🧤 za kumsaidia kujifungua

Mimba ni miezi 9 sio suala la ghafla kama ajali,
Yaani mwanamke anavua chupi, mimba inaingia, unalea mimba miezi 9,
Hadi siku ya kujifungua unafika hospitali na uchungu hata elfu 50 huna ya kuchangia huduma
Watanganyika acheni madeko tuwajibike

Hivi kama mwanaume unajisikiaje mkeo anafikia hatua ya kujifungua na wewe upo hai hujatoa hata 100?, halafu unataka mtoto awe u bin wako

Serikali imejenga hospitals, umeajiri waganga, wauguzi na wakunga, Kuna vifaa hata unaambiwa uchangie elfu 50 unaona si haki, hadi kupiga simu Kwa mkuu wa mkoa

Hata Mimi ningekuwa mkuu wa mkoa Nina hakika ningempa jibu kama la Chalamila

Haiwezekani serikali ikufanyie kila kitu aisee

Huko kwenye elimu ndo balaa, wazazi walivyoambiwa elimu Bure, hawawajibiki Kwa lolote, anatamka asbh mtoto anamtuma shule

Hawa Watanzania Magufuli alivowaita wanyonge wanashangilia eti anawapenda, kupenda Bure ni kudumaza na kujidhalilisha

Mzazi hajui hata bei ya kitabu, akiombwa mchango wa masomo ya ziada, analalamika hadi Kwa Rais Samia, Sasa hizi akili za wapi?

Watanzania tujikumbushe wajibu wetu
 
Watu wanalipa kodi! Jana nimenunua umeme wa 5k wakakata VAT 750 sasa hii hela inaenda wapi?

Gloves gani zinauzwa 50k?
Huyu mweka mada ni zwazwa anataka tulee serikali isiyowajibika tumechoka na hilo!, we usipolipa kodi kwenye biashara yako unafungiwa ila wao hiyo hamsini ambayo huduma hiyo ni wajibu wao wanajibu watu kijinga!.
Tanzania tunalea ujinga sana!, Mtu unakuja na hoja ati ujauzito sio jambo la ghafla haya na hapo hospitali kwani hawajui kuwa ujauzito sio jambo la ghafla..? walikuwa wapi kujiandaa!. hakuna mtu atalalamikia serikali kama serikali haijajipa jukumu hilo mbona huduma tunazojua zakulipia hatupigi kelele..?

wanataka kutuona mazwazwa hawa, hapo ingekuwa ni mke wa kiongozi angehudumiwa vizuri na kila kitu kingepatikana pasipo kuombwa hata senti moja jinga sana mweka mada!.
 
Huu upumbavu unasababishwa na watanzania wajinga kama wewe ngara23 kwa maana hiyo unataka kusema serikali ilipojenga shule na hizo zahanati pesa walichanga mawaziri ama hao wanasiasa? Huyo mama mjamzito anapaswa apatiwe huduma kulingana na miongozo na taratibu za nchi Sasa hiyo pesa ya gloves nani anaipokea? Inatolewa kwa Sheria Gani? Kwanini pesa itolewe kama zawadi kinyume na malipo ya serikali yanavyoelekeza kutolewa? Faq yo ngara23
 
Huyu mweka mada ni zwazwa anataka tulee serikali isiyowajibika tumechoka na hilo!, we usipolipa kodi kwenye biashara yako unafungiwa ila wao hiyo hamsini ambayo huduma hiyo ni wajibu wao wanajibu watu kijinga!.
Tanzania tunalea ujinga sana!, Mtu unakuja na hoja ati ujauzito sio jambo la ghafla haya na hapo hospitali kwani hawajui kuwa ujauzito sio jambo la ghafla..? walikuwa wapi kujiandaa!. hakuna mtu atalalamikia serikali kama serikali haijajipa jukumu hilo mbona huduma tunazojua zakulipia hatupigi kelele..?

wanataka kutuona mazwazwa hawa, hapo ingekuwa ni mke wa kiongozi angehudumiwa vizuri na kila kitu kingepatikana pasipo kuombwa hata senti moja jinga sana mweka mada!.
Sio kweli mkuu
Hata kama, kuchangia gharama za kujifungua haipaswi kuwa jambo la kupigia kelele
Sasa tutawezaje kupinga rushwa za rasimali zetu, ikiwa hata mtu unashindwa kuchangia elfu 50 ili mkeo ajifungue
 
Huu upumbavu unasababishwa na watanzania wajinga kama wewe ngara23 kwa maana hiyo unataka kusema serikali ilipojenga shule na hizo zahanati pesa walichanga mawaziri ama hao wanasiasa? Huyo mama mjamzito anapaswa apatiwe huduma kulingana na miongozo na taratibu za nchi Sasa hiyo pesa ya gloves nani anaipokea? Inatolewa kwa Sheria Gani? Kwanini pesa itolewe kama zawadi kinyume na malipo ya serikali yanavyoelekeza kutolewa? Faq yo ngara23
We utajionaje ikiwa mkeo uliyempa mimba atajifungua bila baba kuwajibika hata kulipia iyo elfu 50
 
Leo watu wanamshambulia Mkuu wa mkoa wa Dar Kwa kumjibu mama mjamzito aliyeambiwa na wauguzi kuhusu kuchangia pesa ya kumnunulia gloves 🧤 za kumsaidia kujifungua

Mimba ni miezi 9 sio suala la ghafla kama ajali,
Yaani mwanamke anavua chupi, mimba inaingia, unalea mimba miezi 9,
Hadi siku ya kujifungua unafika hospitali na uchungu hata elfu 50 huna ya kuchangia huduma
Watanganyika acheni madeko tuwajibike

Hivi kama mwanaume unajisikiaje mkeo anafikia hatua ya kujifungua na wewe upo hai hujatoa hata 100?, halafu unataka mtoto awe u bin wako

Serikali imejenga hospitals, umeajiri waganga, wauguzi na wakunga, Kuna vifaa hata unaambiwa uchangie elfu 50 unaona si haki, hadi kupiga simu Kwa mkuu wa mkoa

Hata Mimi ningekuwa mkuu wa mkoa Nina hakika ningempa jibu kama la Chalamila

Haiwezekani serikali ikufanyie kila kitu aisee

Huko kwenye elimu ndo balaa, wazazi walivyoambiwa elimu Bure, hawawajibiki Kwa lolote, anatamka asbh mtoto anamtuma shule

Mzazi hajui hata bei ya kitabu, akiombwa mchango wa masomo ya ziada, analalamika hadi Kwa Rais Samia, Sasa hizi akili za wapi?

Watanzania tujikumbushe wajibu wetu
1. Japokuwa ujumbe wa huyo Mkuu wa Mkoa ni sahihi na wa kweli, lakini alichokosea ni Matumizi ya Lugha isiyokuwa sahihi katika kufikisha huo ujumbe. Huyo RC ametumia Lugha Chafu Sana isiyokuwa ya staha katika kumuelekeza huyo Mama. Kwa maoni yangu, naona Kosa lake kubwa lipo hapa.
Chalamila ametumia lugha chafu, Hana lugha ya staha wala hana lugha nzuri ya kidiplomasia. Extremely bad if not WORSE CUSTOMER SERVICE.
2. Hata hivyo, nafikiri Bima ya Afya kwa Watu wote nafikiri ingefaa ku-deal na Kesi Kama hizi. Serikali inao wajibu mkubwa sana katika kushughulikia masuala haya ya Afya ya Akina mama, hususani Wanawake wajawazito. Kipaumbele kikubwa zaidi kwenye masuala haya ya Afya yangeelekezwa huko kwa MCH.
 
Ukumbuke tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu 2025.


Na fedha zote saa100 kununulia mabasi ya chama,piki piki za chama,land cruiser za chama,kagawia wajumbe 2.600,000 huko Dodoma

Leo unawaambia wananchi wachangie🙃 au wakazalie nyumbani.
 

Attachments

  • VID-20250115-WA0018.mp4
    16.9 MB
Wengi wanakua hawana hata mume mazee si uende hospital utaona ukiwa mtaani tutaongea chochote...
Hayo mazingira sawa
Ila Kuna wengine kabisa baba mwenye mimba yupo ana bet na mke wake hajamlipia hata 100 akajifungue
 
Tanzania watu wanafikiri kuzaa ni sifa. Kama unashindwa kulipa elfu 50 utaweza kulea? Ndio hawa hawa wakikua wanakuja jukwaani kusupport hoja za LIKUD kuhusu kayumba kuwa na elimu bora kuliko Ems
 
Back
Top Bottom