Hodi!
Jamani kama kichwa cha habari kinavyosema kula mayai ya kienyeji kwa siku karibia tray ila bado sinenepi!
Je nafeli wapi jamani maana kila nikila yananikataa, je kuna hatari gani kiafya ntaipata? vipi nitumie njia ipi mbadala ya kuremove kimbaumbau?
Haya nakaribisha madokta na wasio madokta jukwaani.
Ridhika,nafsi ikitulia aaaah utajinenepea,lkn km kila siku roho juu,hata ule nn...
Tungo yako umezidisha chumvi! Trey?kwa siku?
Hebu fafanua vizuri unakula mayai ya ndege gani? km vp jaribu mayai ya kenge aaaah!!!! nakuhakikishia fasta tuu ndani ya wiki moja utakuwa bonge nyanyaHodi!
Jamani kama kichwa cha habari kinavyosema kula mayai ya kienyeji kwa siku karibia tray ila bado sinenepi!
Je nafeli wapi jamani maana kila nikila yananikataa, je kuna hatari gani kiafya ntaipata? vipi nitumie njia ipi mbadala ya kuremove kimbaumbau?
Haya nakaribisha madokta na wasio madokta jukwaani.
Acha nyeto