Yaaani umeandika pumba tupu na umeonesha ujinga na ujuha wako nape anakosa gani kubwa alilo lifanya ndan ya ccm? Kuweka ukweli wa uvamizi wa bashite ?? Mbona CCM ni chama kinacho peenda uongo kila siku?? Kimegeuka kuwa chama cha kihuni sana sasahiviKama mtakumbuka Miaka ya nyuma kidogo Nape alisababisha vurugu kubwa sana pale umoja wa vijana akiwa mjumbe wa baraza kuu la UVCCM hadi akavuliwa uanachama. Records zipo.
Baada ya muda mrefu kidogo J.K akampa ukuu wa wilaya ya Nanyumbu. Ikumbukwe kuwa marehem mzee Nnauye na Kikwete Jakaya walikuwa marafiki sana na kikwete na mzee makamba na Nnauye hawakukutana barabarani. Walikutana Singidaaa!!! Wakati kikwete ni katibu wa CCM, makamba ni katibu tarafa na Nnauye alikuwa nani sijui. Nimesahau.
Kwanini nimekumbusha haya?
Ni kwamba Nape alikuwa bado anaamini kuwa anafanya kazi na baba zake walezi kwa hiyo amesahau hizi ni zama zingine.
Namuomba nape sasa atulie. Atulize kichwa. Kila zama na kitabu chake.
Tayari Mkuu. Ndg kashaingiza elfu7.Hapo tayari buku 7 ishaingia
Ndugu unaishi dunia gani? Mambo ya kukariri yamepitwa na wakati hii ni dunia ya uwazi na ukweli na sio kuogopana nakushauri badirika ndugu bila hivyo utaonewa kila siku na kuwa mtumwa kwenye nchi yakoKama mtakumbuka Miaka ya nyuma kidogo Nape alisababisha vurugu kubwa sana pale umoja wa vijana akiwa mjumbe wa baraza kuu la UVCCM hadi akavuliwa uanachama. Records zipo.
Baada ya muda mrefu kidogo J.K akampa ukuu wa wilaya ya Nanyumbu. Ikumbukwe kuwa marehem mzee Nnauye na Kikwete Jakaya walikuwa marafiki sana na kikwete na mzee makamba na Nnauye hawakukutana barabarani. Walikutana Singidaaa!!! Wakati kikwete ni katibu wa CCM, makamba ni katibu tarafa na Nnauye alikuwa nani sijui. Nimesahau.
Kwanini nimekumbusha haya?
Ni kwamba Nape alikuwa bado anaamini kuwa anafanya kazi na baba zake walezi kwa hiyo amesahau hizi ni zama zingine.
Namuomba nape sasa atulie. Atulize kichwa. Kila zama na kitabu chake.
Haikosi wewe waweza kuwa Habib Mnyaa yule wa CUF. Maana mnatema ung'eng'e sio wa kawaida. he he he!You too bro. U see it low because u think by using down parts