Naombeni Ushauri: Baba mkwe kakataa kupokea Mahari kwa awamu tatu

jaap

JF-Expert Member
Dec 25, 2018
5,107
6,772
Mwaka huu nina mpango wa kuoa sasa Mwezi uliopita nilimtuma mshenga kwenda kuposa kwao Mchumba wangu, Sasa mshenga akanipa jibu posa imekubaliwa na kiasi cha mahali wakatajiwa ni Shilingi milioni mbili na laki mbili na 30, Mimi nikakubali kulipa ila nikawaomba nilipe kwa awamu tatu yani awamu ya kwanza nilipe Milioni moja na laki tatu, Baada ya mshenga kuwaambia hivyo Baba mkwe akajibu haiwezekani kulipa kwa awamu tatu anataka Mahari ilipwe kwa awamu mbili na tuseme awamu ya mwisho tutalipa lini, Mimi kiukweli kulipa kwa awamu mbili ni ngumu.
Sass hivi nipo naumiza kichwa.
 
Kwani huyo babamkwe anaolewa yeye mbona anakaza sana, halafu anabargain utafikiri anauza mfugo au gari, aache binti aolewe mahari hata ilipwe awamu 10 no problema

Sema nini jamii zinatofautiana, huku kwetu akigoma ka hivyo mnaelewana na binti unamtorosha, then kesho yake washenga wanatumwa unatoa mahari kianzio uliyonayo, ila no sherehe ya harusi
 
Mwaka huu nina mpango wa kuoa sasa Mwezi uliopita nilimtuma mshenga kwenda kuposa kwao Mchumba wangu, Sasa mshenga akanipa jibu posa imekubaliwa na kiasi cha mahali wakatajiwa ni Shilingi milioni mbili na laki mbili na 30, Mimi nikakubali kulipa ila nikawaomba nilipe kwa awamu tatu yani awamu ya kwanza nilipe Milioni moja na laki tatu, Baada ya mshenga kuwaambia hivyo Baba mkwe akajibu haiwezekani kulipa kwa awamu tatu anataka Mahari ilipwe kwa awamu mbili na tuseme awamu ya mwisho tutalipa lini, Mimi kiukweli kulipa kwa awamu mbili ni ngumu.
Sass hivi nipo naumiza kichwa.
Weka namba nimalizie mahari maana kataa ndoa wakiona huu uzi wanaweza kukubadilisha msimamo.
 
Mwaka huu nina mpango wa kuoa sasa Mwezi uliopita nilimtuma mshenga kwenda kuposa kwao Mchumba wangu, Sasa mshenga akanipa jibu posa imekubaliwa na kiasi cha mahali wakatajiwa ni Shilingi milioni mbili na laki mbili na 30, Mimi nikakubali kulipa ila nikawaomba nilipe kwa awamu tatu yani awamu ya kwanza nilipe Milioni moja na laki tatu, Baada ya mshenga kuwaambia hivyo Baba mkwe akajibu haiwezekani kulipa kwa awamu tatu anataka Mahari ilipwe kwa awamu mbili na tuseme awamu ya mwisho tutalipa lini, Mimi kiukweli kulipa kwa awamu mbili ni ngumu.
Sass hivi nipo naumiza kichwa.
Mahari ni utamaduni uliopitwa na wakati.

Ni biashara ya kuuza wanawake iliyohalalishwa na jamii tu.
 
Mwaka huu nina mpango wa kuoa sasa Mwezi uliopita nilimtuma mshenga kwenda kuposa kwao Mchumba wangu, Sasa mshenga akanipa jibu posa imekubaliwa na kiasi cha mahali wakatajiwa ni Shilingi milioni mbili na laki mbili na 30, Mimi nikakubali kulipa ila nikawaomba nilipe kwa awamu tatu yani awamu ya kwanza nilipe Milioni moja na laki tatu, Baada ya mshenga kuwaambia hivyo Baba mkwe akajibu haiwezekani kulipa kwa awamu tatu anataka Mahari ilipwe kwa awamu mbili na tuseme awamu ya mwisho tutalipa lini, Mimi kiukweli kulipa kwa awamu mbili ni ngumu.
Sass hivi nipo naumiza kichwa.
Wewe hauko tayari kuoa.Unaanzaje kubishia matakwa ya mwenye mtoto
 
Mwambie huyo mwenzio kuwa uchumi wako hauruhusu,. Kama hawataki kuchukua awamu tatu unaoa mwingine. wakiendelea kukaza achana nae,. Tafuta wengine kwakuwa huyo hawakuuzii,. Na baada ya hapo hao wakwe utaendelea kuwasaidia Ktk starehe na maafa mbalimbali
Mwaka huu nina mpango wa kuoa sasa Mwezi uliopita nilimtuma mshenga kwenda kuposa kwao Mchumba wangu, Sasa mshenga akanipa jibu posa imekubaliwa na kiasi cha mahali wakatajiwa ni Shilingi milioni mbili na laki mbili na 30, Mimi nikakubali kulipa ila nikawaomba nilipe kwa awamu tatu yani awamu ya kwanza nilipe Milioni moja na laki tatu, Baada ya mshenga kuwaambia hivyo Baba mkwe akajibu haiwezekani kulipa kwa awamu tatu anataka Mahari ilipwe kwa awamu mbili na tuseme awamu ya mwisho tutalipa lini, Mimi kiukweli kulipa kwa awamu mbili ni ngumu.
Sass hivi nipo naumiza kichwa.
 
Back
Top Bottom