Naombeni msaada wa dawa za kutibu ugonjwa wa Scabbies

mkolaj

JF-Expert Member
Mar 24, 2014
3,023
1,089
Ndugu wa Jf poleni sana Kwa mihangaiko yetu ya siku, natumaini tunaendelea vizuri kulingana na mapenzi ya muumba wetu.
Nirudi kwenye maada, Mimi nasumbuliwa na homa ya Scabbies, kiukweli hii homa inanifanya nikose amani, ngozi ina upele na inawasha sana. Naombeni msaada wetu wa dawa mzuri za kutibu huu ugonjwa.
Asante sana
 
Ndugu wa Jf poleni sana Kwa mihangaiko yetu ya siku, natumaini tunaendelea vizuri kulingana na mapenzi ya muumba wetu.
Nirudi kwenye maada, Mimi nasumbuliwa na homa ya Scabbies, kiukweli hii homa inanifanya nikose amani, ngozi ina upele na inawasha sana. Naombeni msaada wetu wa dawa mzuri za kutibu huu ugonjwa.
Asante sana
Nunua scaboma lotion
 
Ndugu wa Jf poleni sana Kwa mihangaiko yetu ya siku, natumaini tunaendelea vizuri kulingana na mapenzi ya muumba wetu.
Nirudi kwenye maada, Mimi nasumbuliwa na homa ya Scabbies, kiukweli hii homa inanifanya nikose amani, ngozi ina upele na inawasha sana. Naombeni msaada wetu wa dawa mzuri za kutibu huu ugonjwa.
Asante sana
Picha ya viupele mkuu
 
Trump kashaleta shida...................viupele kidogo tu unaogopa kupima........kisa arv zinatolewa kwa mchongo
 
Hongera kwa kuji diagnosed na kujua ni kipi kinakusumbua

Fanya mambo yafuatayo kabla hujaanza kutumia dawa' (Non-pharmaceutical)

1. Jitahidi usafi hasa wa mazingira yanayokuzunguka
2. Hakikisha kama una mifugo kama mbwa kuku, mbuzi, paka na wengine wote, hakikikisha wanasafishwa kwa dawa au kupiga dawa maeneo wanayo lala
3. Tizama mazingira ya nyumba yako, nikiwa na maana matandikio, sakafu (kama hakuna) jitahidi kumwaga maji yenye dawa ili uue vijidudu vilivyojificha hasa kwenye udongo
4. Jitahidi kuoga mara kwa mara na maji ya uvugu vugu na usirudie kuvaa nguo ulizo kwisha kuzitumia, na hakikisha ukizifua unazi Anika juani
5. Jitahidi kuangalia jamii inayokuzunguka pia kama kuna watoto Wana hiyo changamoto, hakikisha wanapata tiba

Kikubwa ugonjwa huu ni wa (aibu) lakini ukizingatia niliyoyasema ukakaa vyema

Kwenye upande wa Dawa sitopenda kutaja aina ya dawa ila nakuomba ukaonane na wataalum watakupa TOPICAL SOLUTION utaitumia kwa week 2 mpaka 3 na utakaa vizuri


Prognosis ✅✅🤝
 
MATIBABU NI ZAIDI YA KUANDIKIWA NA KUPEWA DAWA TU.(WABONGO TUJENGE UTARATIBU WA KUFANYA JAMBO SAHIHI MAHALI SAHIHI NA WAKATI SAHIHI)
mfano mtu anakwambia tu tumia BBE ,unatumiaje ,?na je unajua history ya mgonjwa?risk factors zilizopelekea ,family members wengine social determinants zilizopelekea akapata,??ddx differential ddx ?what if sio scabies?how sure you are kwamba ni scabies,kwani mgonjwa ni daktari? njia za preventions kuzuia re infections,ukimpa dawa akirudi kwenye same social determinat higo hiyo exposure iliyompelekea kuugua ,?utakuwa umemtibu umemsaidia kumpa dawa bila kuzuia kuondoa SOURCE YA TATIZO CHANZO?..
UNATIBUJE MTU MTANDAONI HATA KAMA WEWE NI DAKTARI...BIOETHICS? ETHICS ZINAKURUHUSU???
 
Hongera kwa kuji diagnosed na kujua ni kipi kinakusumbua

Fanya mambo yafuatayo kabla hujaanza kutumia dawa' (Non-pharmaceutical)

1. Jitahidi usafi hasa wa mazingira yanayokuzunguka
2. Hakikisha kama una mifugo kama mbwa kuku, mbuzi, paka na wengine wote, hakikikisha wanasafishwa kwa dawa au kupiga dawa maeneo wanayo lala
3. Tizama mazingira ya nyumba yako, nikiwa na maana matandikio, sakafu (kama hakuna) jitahidi kumwaga maji yenye dawa ili uue vijidudu vilivyojificha hasa kwenye udongo
4. Jitahidi kuoga mara kwa mara na maji ya uvugu vugu na usirudie kuvaa nguo ulizo kwisha kuzitumia, na hakikisha ukizifua unazi Anika juani
5. Jitahidi kuangalia jamii inayokuzunguka pia kama kuna watoto Wana hiyo changamoto, hakikisha wanapata tiba

Kikubwa ugonjwa huu ni wa (aibu) lakini ukizingatia niliyoyasema ukakaa vyema

Kwenye upande wa Dawa sitopenda kutaja aina ya dawa ila nakuomba ukaonane na wataalum watakupa TOPICAL SOLUTION utaitumia kwa week 2 mpaka 3 na utakaa vizuri


Prognosis ✅✅🤝
Asante
 
MATIBABU NI ZAIDI YA KUANDIKIWA NA KUPEWA DAWA TU.(WABONGO TUJENGE UTARATIBU WA KUFANYA JAMBO SAHIHI MAHALI SAHIHI NA WAKATI SAHIHI)
mfano mtu anakwambia tu tumia BBE ,unatumiaje ,?na je unajua history ya mgonjwa?risk factors zilizopelekea ,family members wengine social determinants zilizopelekea akapata,??ddx differential ddx ?what if sio scabies?how sure you are kwamba ni scabies,kwani mgonjwa ni daktari? njia za preventions kuzuia re infections,ukimpa dawa akirudi kwenye same social determinat higo hiyo exposure iliyompelekea kuugua ,?utakuwa umemtibu umemsaidia kumpa dawa bila kuzuia kuondoa SOURCE YA TATIZO CHANZO?..
UNATIBUJE MTU MTANDAONI HATA KAMA WEWE NI DAKTARI...BIOETHICS? ETHICS ZINAKURUHUSU???
Tajiri yangu wewe'

Huyu mgonjwa kesha ji diagnos huko nyumbani, nafikiri ulipaswa kujua features zake na kutoa suggestion unayoona....

Nilitegemea baada ya mlolongo wa maelezo uliyoyatoa ungemshauri muhusika badala yake 🤣🤣🤣🤣🤣unatufokea

Tupo kwenye mkutano wa nishati unatufanya tushindwe kunywa maji

Am just kidding Chief, well said
 
MATIBABU NI ZAIDI YA KUANDIKIWA NA KUPEWA DAWA TU.(WABONGO TUJENGE UTARATIBU WA KUFANYA JAMBO SAHIHI MAHALI SAHIHI NA WAKATI SAHIHI)
mfano mtu anakwambia tu tumia BBE ,unatumiaje ,?na je unajua history ya mgonjwa?risk factors zilizopelekea ,family members wengine social determinants zilizopelekea akapata,??ddx differential ddx ?what if sio scabies?how sure you are kwamba ni scabies,kwani mgonjwa ni daktari? njia za preventions kuzuia re infections,ukimpa dawa akirudi kwenye same social determinat higo hiyo exposure iliyompelekea kuugua ,?utakuwa umemtibu umemsaidia kumpa dawa bila kuzuia kuondoa SOURCE YA TATIZO CHANZO?..
UNATIBUJE MTU MTANDAONI HATA KAMA WEWE NI DAKTARI...BIOETHICS? ETHICS ZINAKURUHUSU???

Hoja yako ya msingi sana
Lakini
 
Back
Top Bottom