Naomba ushauri: Nimegundua mke wangu ana mahusiano na jamaa ninayefahamiana naye

Dr SiMA

New Member
Jun 22, 2023
2
34
Habari za mda huu wadau wa JamiiForums kama mada inavyojieleza apo juu naomba kuwasilisha kisa cha kweli ili kuweza kupata mawazo na michango tofauti x2 kutoka kwenu.

Mimi ni kijana wa kitanzania umri 30+ katika harakati za kutafuta maisha nimeangukia kwenye kusoma na sasa namalizia shahada yangu ya uzamivu katika nchi moja ya Europe, pia nina familia namanisha mke na watoto 2 nipo huku napambana mwenyewe ikiwa familia ipo nyumban Tanzania ila kama baba na mume nahakikisha wanapata huduma zote tena kwa wakati wote namanisha zile basic needs kwa binadamu.

Ila hivi karibuni nimegundua mke wangu amenisaliti na mtu ambae tunafahamiana kabisa na yeye ananijua mpaka na familia yake naifahamu. Nilijaribu kumbana sana wife nimegundua kweli walikuwa na mahusiano, inaonekana ndio walikuwa wanaanza yaan kama 2 or 3 months.

Usiniulize nimegundua vipi, mbinu zangu za kiintelejesia nimejua hilo, ila kupitia chat zao na mambo yao niliyoyaona ni bado hawajakutana kimwili (Sex), nina uhakika na hicho kwa sababu nazijua mimi wapi nimbane mke wangu aseme ukweli na huo ndio ukweli.

Ila kiukweli huyu mwanamke nilikuwa namuamini sana sana kuliko chochote kile ila hatma yake ndio hivyo

Sasa wadau mnishauri kitu, mimi nina siku chache kutua bongo baada ya kumaliza masomo yangu. Sasa kichwani kwangu nina mambo matatu naomba mnishauri

1- Nitakaporudi nataka nihakikishe namtafuta mke wa jamaa kwa gharama zozote zile niwe naye kwenye mahusiano na yeye aone uchungu wa mke maana kwa hela ya kumuhadaa tu ninayo ya kutosha.

2- Nataka kuachana na mama watoto wangu maana simuamini tena katika maisha yangu yaani hata anambie samahani au nakupenda naona ananitukana tu, yaani simuelewi tena hata kama hajasexy nae ila simpendi tena.

3-Huyu jamaa nimshtaki maana nina ushahahidi wote wa kumbana na hawezi kuchomoa, nina kila evidence ila sijui kama kuna kesi ya aina kama hii Tanzania

Wadau naomba maoni yenu katika hili ili nifanye maamuzi yaliyo sahihi

Ahsanteni sana
 
Habar za mda huu wadau wa jamii foroums, kama mada inavyojieleza apo juu naomba kuwasilisha kisa cha kweli ili kuweza kupata mawazo na michango tofauti x2 kutoka kwenu.

Mimi ni kijana wa kitanzania umri 30+ katika harakati za kutafuta maisha nimeangukia kwenye kusoma na sasa namalizia shahada yangu ya uzamivu katika nchi moja ya Europe, pia nina familia namanisha mke na watoto 2 nipo huku napambana mwenyewe ikiwa familia ipo nyumban Tz ila kama baba na mume nahakikisha wanapata huduma zote tena kwa wakati wote namanisha zile basic needs kwa binadamu.

Ila hivi karibuni nimegundua mke wangu amenisaliti na mtu ambae tunafahamiana kabisa na yeye ananijua mpaka na familia yake naifahamu. Nilijaribu kumbana sana wife nimegundua kweli walikuwa na mahusiano, inaonekana ndio walikuwa wanaanza yaan kama 2 or 3 months.

Usiniulize nimegundua vipi, mbinu zangu za kiintelejesia nimejua hilo, ila kupitia chat zao na mambo yao niliyoyaona ni bado hawajakutana kimwili (Sex), nina uhakika na hicho kwa sababu nazijua mimi wapi nimbane mke wangu aseme ukweli na huo ndio ukweli.

Ila kiukweli huyu mwanamke nilikuwa namuamini sana sana kuliko chochote kile ila hatma yake ndio hivyo

Sasa wadau mnishauri kitu, mimi nina siku chache kutua bongo baada ya kumaliza masomo yangu. Sasa kichwani kwangu nina mambo matatu naomba mnishauri

1- Nitakaporudi nataka nihakikishe namtafuta mke wa jamaa kwa gharama zozote zile nimle na yeye aone uchungu wa mke maana kwa hela ya kumuhadaa tu ninayo ya kutosha.

2- Nataka kuachana na mama watoto wangu maana simuamini tena katika maisha yangu yaani hata anambie samahani au nakupenda naona ananitukana tu, yaani simuelewi tena hata kama hajasexy nae ila simpendi tena.

3-Huyu jamaa nimshtaki maana nina ushahahidi wote wa kumbana na hawezi kuchomoa, nina kila evidence ila sijui kama kuna kesi ya aina kama hii Tz.

Wadau naomba maoni yenu katika hili ili nifanye maamuzi yaliyo sahihi

Ahsanteni sana
Kesi ni ya madai hiyo, sasa utamshitaki kwa kudai nini?

Halafu sikia dogo, kosa la wizi haliadhibiwi kwa mwizi kuibiwa, huo ni mfano, unataka kuendeleza songombingo la kipumbafu, wakati unajiita msomi?
 
Habari za mda huu wadau wa JamiiForums kama mada inavyojieleza apo juu naomba kuwasilisha kisa cha kweli ili kuweza kupata mawazo na michango tofauti x2 kutoka kwenu.

Mimi ni kijana wa kitanzania umri 30+ katika harakati za kutafuta maisha nimeangukia kwenye kusoma na sasa namalizia shahada yangu ya uzamivu katika nchi moja ya Europe, pia nina familia namanisha mke na watoto 2 nipo huku napambana mwenyewe ikiwa familia ipo nyumban Tanzania ila kama baba na mume nahakikisha wanapata huduma zote tena kwa wakati wote namanisha zile basic needs kwa binadamu.

Ila hivi karibuni nimegundua mke wangu amenisaliti na mtu ambae tunafahamiana kabisa na yeye ananijua mpaka na familia yake naifahamu. Nilijaribu kumbana sana wife nimegundua kweli walikuwa na mahusiano, inaonekana ndio walikuwa wanaanza yaan kama 2 or 3 months.

Usiniulize nimegundua vipi, mbinu zangu za kiintelejesia nimejua hilo, ila kupitia chat zao na mambo yao niliyoyaona ni bado hawajakutana kimwili (Sex), nina uhakika na hicho kwa sababu nazijua mimi wapi nimbane mke wangu aseme ukweli na huo ndio ukweli.

Ila kiukweli huyu mwanamke nilikuwa namuamini sana sana kuliko chochote kile ila hatma yake ndio hivyo

Sasa wadau mnishauri kitu, mimi nina siku chache kutua bongo baada ya kumaliza masomo yangu. Sasa kichwani kwangu nina mambo matatu naomba mnishauri

1- Nitakaporudi nataka nihakikishe namtafuta mke wa jamaa kwa gharama zozote zile niwe naye kwenye mahusiano na yeye aone uchungu wa mke maana kwa hela ya kumuhadaa tu ninayo ya kutosha.

2- Nataka kuachana na mama watoto wangu maana simuamini tena katika maisha yangu yaani hata anambie samahani au nakupenda naona ananitukana tu, yaani simuelewi tena hata kama hajasexy nae ila simpendi tena.

3-Huyu jamaa nimshtaki maana nina ushahahidi wote wa kumbana na hawezi kuchomoa, nina kila evidence ila sijui kama kuna kesi ya aina kama hii Tanzania

Wadau naomba maoni yenu katika hili ili nifanye maamuzi yaliyo sahihi

Ahsanteni sana
Hii ni chai. Hakuna mtu mwenye exposure ya nje na elimu nzuri kama wewe anaweza kuwa nanga na bwege kiasi hiki. Hakuna hakuna. Wasomi wenye exposure ni watu weledi wenye kufanya maamuzi binafsi kwa kujiamini kabisa. Sana sana kama wanataka ushauri wataulizia mtu wa karibu mwenye kuaminika na siyo kufungua thread.
 
Pole sana.
Achana na option namba 3. Usimshtaki ,sio kesi ya maana sana ila utajitia aibu tu.

Nenda na option namba 1 na namba 2 kwa pamoja ,ila hiyo namba 2 i modify kidogo, muache mkeo ila si kwa talaka, wala usimfukuze ila ji detach nae, achana nae kabisa kihisia kuwa na mambo yako ila kwa afya ya watoto usimfukuze,

Option namba 1 is a must, tafute huyo mama mke wa jamaa, piga sanaaa na uhakikishe mkeo anajua hilo na mshkaji wako pia anafahamu.

Kisha baada ya hilo hakikisha pia mshkaji wako pia anajua kuwa unafahamu kuwa ameivuriga familia yako.

Mwisho kabisa jiandae kwa vita incase of reaction ya jamaa yako.

NB
Haitakupunguzia maumivu ila angalau uta level game, ngoma draw mwisho wa dakika 90 ,so mnaenda extra 30 hapo game itategemeana na mwamba nae kaamua nini.

All the best
 
Habari za mda huu wadau wa JamiiForums kama mada inavyojieleza apo juu naomba kuwasilisha kisa cha kweli ili kuweza kupata mawazo na michango tofauti x2 kutoka kwenu.

Mimi ni kijana wa kitanzania umri 30+ katika harakati za kutafuta maisha nimeangukia kwenye kusoma na sasa namalizia shahada yangu ya uzamivu katika nchi moja ya Europe, pia nina familia namanisha mke na watoto 2 nipo huku napambana mwenyewe ikiwa familia ipo nyumban Tanzania ila kama baba na mume nahakikisha wanapata huduma zote tena kwa wakati wote namanisha zile basic needs kwa binadamu.

Ila hivi karibuni nimegundua mke wangu amenisaliti na mtu ambae tunafahamiana kabisa na yeye ananijua mpaka na familia yake naifahamu. Nilijaribu kumbana sana wife nimegundua kweli walikuwa na mahusiano, inaonekana ndio walikuwa wanaanza yaan kama 2 or 3 months.

Usiniulize nimegundua vipi, mbinu zangu za kiintelejesia nimejua hilo, ila kupitia chat zao na mambo yao niliyoyaona ni bado hawajakutana kimwili (Sex), nina uhakika na hicho kwa sababu nazijua mimi wapi nimbane mke wangu aseme ukweli na huo ndio ukweli.

Ila kiukweli huyu mwanamke nilikuwa namuamini sana sana kuliko chochote kile ila hatma yake ndio hivyo

Sasa wadau mnishauri kitu, mimi nina siku chache kutua bongo baada ya kumaliza masomo yangu. Sasa kichwani kwangu nina mambo matatu naomba mnishauri

1- Nitakaporudi nataka nihakikishe namtafuta mke wa jamaa kwa gharama zozote zile niwe naye kwenye mahusiano na yeye aone uchungu wa mke maana kwa hela ya kumuhadaa tu ninayo ya kutosha.

2- Nataka kuachana na mama watoto wangu maana simuamini tena katika maisha yangu yaani hata anambie samahani au nakupenda naona ananitukana tu, yaani simuelewi tena hata kama hajasexy nae ila simpendi tena.

3-Huyu jamaa nimshtaki maana nina ushahahidi wote wa kumbana na hawezi kuchomoa, nina kila evidence ila sijui kama kuna kesi ya aina kama hii Tanzania

Wadau naomba maoni yenu katika hili ili nifanye maamuzi yaliyo sahihi

Ahsanteni sana

Ushauri wa bure....potezea na endelea kujenga maisha yako.

Mwanamke naye ni mwanadamu. Anapata kiu kama wanadamu wengine. Huo msaada kwenye tuta tu.
 
unasoma ulaya au uhasibu hapo mkabala na liquid bar hapo

unatulazimisha tusiulize umepataje sisi inatuhusu...... mkeo naenda kumwambia kwasasa atafute mtu mwingine mwenye nida asajili laini nyingine maisha yake yaendelee ,tuone utayapataje tena
 
Back
Top Bottom