Mwasandube_
Member
- Jan 31, 2022
- 22
- 33
Habari wadau! Katika pita pita zangu nimetokea kuipenda sana mazda mpv niwaza maybe siku za mbeleni walau na mimi niweze kuagiza.
Naomba ushauri kwa wanaoijua hii gari especially kwenye nyanja za ulaji wa mafuta,spare, management yake kwa maana ya service, matatizo common ya engine yake kama yapo.
Naomba kuwasilisha.
Naomba ushauri kwa wanaoijua hii gari especially kwenye nyanja za ulaji wa mafuta,spare, management yake kwa maana ya service, matatizo common ya engine yake kama yapo.
Naomba kuwasilisha.