BWANA MISOSI
Member
- Feb 11, 2020
- 39
- 24
Habari zenu wadau,
Naombeni msaada kujua. Kozi tajwa hapo juu ukisoma unaweza kufanya kazi ya magement? Naamanisha unaweza kuajiriwa kazi nyingine nje ya ualimu? Ajira zake ni zipi? Umuhumu wake ukoje. Mimi Niko form six nasoma HKL nataka Mungu akinijalia nikifaulu nikasome hiyo kozi, naombeni ushauri wenu au Kama Kuna kozi nyingine pia naombeni mnishauri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni msaada kujua. Kozi tajwa hapo juu ukisoma unaweza kufanya kazi ya magement? Naamanisha unaweza kuajiriwa kazi nyingine nje ya ualimu? Ajira zake ni zipi? Umuhumu wake ukoje. Mimi Niko form six nasoma HKL nataka Mungu akinijalia nikifaulu nikasome hiyo kozi, naombeni ushauri wenu au Kama Kuna kozi nyingine pia naombeni mnishauri.
Sent using Jamii Forums mobile app