Gunia la debe sita au saba?
Mana huku kwetu twatumia kipimo cha debe then tunahifadhi kwenye maroba ya debe 6-10 hatutumii sana kipimo cha magunia.
Asante Mkuu kwa mchango.
Debe ndio kipimo gani, na debe ni la aina gani na kutoka wapi, ni vizuri tutumie Vipimo ambavyo ni std tuambiane gunia la kilo mia ni bei gani, huku Rukwa ni kati ya 60,000 na 70,000/= gunia la kilo 90