Suprise JF-Expert Member Nov 2, 2012 2,696 1,063 Jun 3, 2016 #1 Wazima, naomba wenyeji wanipe muongozo humu, nimekua mgeni kweli, nnaweza nkavamia makoloni ya watu bure
Wazima, naomba wenyeji wanipe muongozo humu, nimekua mgeni kweli, nnaweza nkavamia makoloni ya watu bure
Tutor B JF-Expert Member Jun 11, 2011 9,025 6,598 Jun 3, 2016 #2 w Suprise said: Wazima, naomba wenyeji wanipe muongozo humu, nimekua mgeni kweli, nnaweza nkavamia makoloni ya watu bure Click to expand... ewe ke au me
w Suprise said: Wazima, naomba wenyeji wanipe muongozo humu, nimekua mgeni kweli, nnaweza nkavamia makoloni ya watu bure Click to expand... ewe ke au me
N NAKWEDE JF-Expert Member Aug 1, 2007 27,969 35,163 Jun 3, 2016 #3 mie mwenyeji hapa mwaka wa tisa huu nini tabu kijana sema usaidiwe atiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Suprise JF-Expert Member Nov 2, 2012 2,696 1,063 Jun 3, 2016 Thread starter #4 Tutor B said: w ewe ke au me Click to expand... ngoja nifikirie jinsia kwanza, wapi kuna upungufu
Suprise JF-Expert Member Nov 2, 2012 2,696 1,063 Jun 3, 2016 Thread starter #5 kw CHIKIRA MTABARI said: mie mwenyeji hapa mwaka wa tisa huu nini tabu kijana sema usaidiwe atiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Click to expand... kweli u mwenyeji, wapi naweza jiweka
kw CHIKIRA MTABARI said: mie mwenyeji hapa mwaka wa tisa huu nini tabu kijana sema usaidiwe atiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Click to expand... kweli u mwenyeji, wapi naweza jiweka
Mr Dumila JF-Expert Member Jun 3, 2016 271 537 Jun 3, 2016 #6 Duuuh ww noma hadi leo unapost 2700 ila like 10 Yani unawastani wa like 00000000000.0001% kwa kila post
Duuuh ww noma hadi leo unapost 2700 ila like 10 Yani unawastani wa like 00000000000.0001% kwa kila post