Harris_aka47
New Member
- Feb 5, 2025
- 1
- 1
Habari ndugu,
Samahani naomba mwenye kujua ni vyuo gani Tz vinafundisha ufundi wa magari makubwa ya mizigo na gharama zake, mimi niko Dodoma, kwahiyo naomba nitajiwe vyuo ambavyo haviko mbali zaidi kuvuka mikoa 3 mfano chuo kiko geita sijui, tafadhali guys naomba msaada.
Samahani naomba mwenye kujua ni vyuo gani Tz vinafundisha ufundi wa magari makubwa ya mizigo na gharama zake, mimi niko Dodoma, kwahiyo naomba nitajiwe vyuo ambavyo haviko mbali zaidi kuvuka mikoa 3 mfano chuo kiko geita sijui, tafadhali guys naomba msaada.