Okwaaa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2020
- 1,332
- 2,963
Habari za jioni ndugu zangu 🤝?(ninyi ni kama ndugu zangu)
Najua kuna wakubwa lakini pia vijana rika langu, itoshe tu kusema itifaki imezingatiwa🙏
Kama kichwa tajwa hapo juu, mm ni kijana miaka 25, mhitimu wa chuo 2019 kwa masomo ya sayansi ya jamii. Nimezaliwa Mbozi ila kwa sasa nipo Sumbawanga (nimefika huku siku tano zilizopita baada ya kukosa ajira za ualimu na nyumbani kukawa na maswali mengi si kwa mzazi tu ila toka kwa watu wengi waliokuwa wanajua nasoma na nimemaliza, hivyo nimedharaulika nyumbani na maza pia kachekwa kwa juhudi zake kutusomesha watoto wawili wote lakini hakuna aliyeajiriwa yani maza anapiga vibarua hana pakulima mashamba aliuza ili kulipa ada na ndo chanzo nikakimbia kwanza nyumbani mana nikimwona maza napata machungu mno).
NAJITOKEZA kwenu ndugu zanguni ili kuomba msaada wa kupata kazi ya aina yoyote ile iliyo halali na yenye kunipatia chochote. Sitajari ugumu wa kazi mana nimekulia maisha ya kufanya kazi ngumu. Sihusishi vyeti vyangu jaman labda ikibidi. Kwa sasa naishi kwa kaka yangu naye hana ajira kama mimi.
Jamani sisi sote ni ndugu, naombeni msada wenu. Mama yangu namhurumia zaidi na nahisi yeye ndo anyeumia zaidi yetu anajiambia mwenyewe eti anamkosi😪. Natamani nimwaminishe tofauti na mawazo yake lakini bado😭
Plz jamani. Samahani kwa maelezo merefu🙏
Sorry mmeniomba kozi niliyosomea ni Bachelor arts with education japo juu nilirahisha kwa kusema masomo ya sayansi ya jamii. Masomo ni Geography & Kiswahili. Najua hayaajiriki sasa. Sitaki kuwa mwongo ujuzi mwingine sina zaidi ya kompyuta kwenye Microsoft word na kidogo kwenye Microsoft exile.
LAKINI PIA NIPO NIPO TAYARI KUUZA SIMU YANGU SAMSUNG A10As kwa yeyote ambaye anahitaji kunisaidia kwa kununua cm, nauza 280,000/=, haina shida yoyote ile
Najua kuna wakubwa lakini pia vijana rika langu, itoshe tu kusema itifaki imezingatiwa🙏
Kama kichwa tajwa hapo juu, mm ni kijana miaka 25, mhitimu wa chuo 2019 kwa masomo ya sayansi ya jamii. Nimezaliwa Mbozi ila kwa sasa nipo Sumbawanga (nimefika huku siku tano zilizopita baada ya kukosa ajira za ualimu na nyumbani kukawa na maswali mengi si kwa mzazi tu ila toka kwa watu wengi waliokuwa wanajua nasoma na nimemaliza, hivyo nimedharaulika nyumbani na maza pia kachekwa kwa juhudi zake kutusomesha watoto wawili wote lakini hakuna aliyeajiriwa yani maza anapiga vibarua hana pakulima mashamba aliuza ili kulipa ada na ndo chanzo nikakimbia kwanza nyumbani mana nikimwona maza napata machungu mno).
NAJITOKEZA kwenu ndugu zanguni ili kuomba msaada wa kupata kazi ya aina yoyote ile iliyo halali na yenye kunipatia chochote. Sitajari ugumu wa kazi mana nimekulia maisha ya kufanya kazi ngumu. Sihusishi vyeti vyangu jaman labda ikibidi. Kwa sasa naishi kwa kaka yangu naye hana ajira kama mimi.
Jamani sisi sote ni ndugu, naombeni msada wenu. Mama yangu namhurumia zaidi na nahisi yeye ndo anyeumia zaidi yetu anajiambia mwenyewe eti anamkosi😪. Natamani nimwaminishe tofauti na mawazo yake lakini bado😭
Plz jamani. Samahani kwa maelezo merefu🙏
Sorry mmeniomba kozi niliyosomea ni Bachelor arts with education japo juu nilirahisha kwa kusema masomo ya sayansi ya jamii. Masomo ni Geography & Kiswahili. Najua hayaajiriki sasa. Sitaki kuwa mwongo ujuzi mwingine sina zaidi ya kompyuta kwenye Microsoft word na kidogo kwenye Microsoft exile.
LAKINI PIA NIPO NIPO TAYARI KUUZA SIMU YANGU SAMSUNG A10As kwa yeyote ambaye anahitaji kunisaidia kwa kununua cm, nauza 280,000/=, haina shida yoyote ile