pavel
JF-Expert Member
- Aug 19, 2015
- 215
- 99
Habari za muda wakuu,
Naomba kupata mchanganuo wa gharama, kwa mwenye uzoefu.
Kiwanja kina ukubwa wa 1050sqm, je ni wire kiasi gani(na ghalama yake) na nguzo kias gani, zinawez kutosha kukamilsha uzio huo..
Naomba pia na makadirio ya fundi kama itawezekana.
Nawasilisha wakuu! Naomba msaada huo
Naomba kupata mchanganuo wa gharama, kwa mwenye uzoefu.
Kiwanja kina ukubwa wa 1050sqm, je ni wire kiasi gani(na ghalama yake) na nguzo kias gani, zinawez kutosha kukamilsha uzio huo..
Naomba pia na makadirio ya fundi kama itawezekana.
Nawasilisha wakuu! Naomba msaada huo