Me niliwahi kuhama kikazi kutoka Tabora kwenda Mwanza nilipiga hesabu kusafirisha kwa gari ikawa gharama kubwa amost 1M ila nilipakia vitu nikapeleka stesheni wakapima uzito nililipa 57,000 manake wanalipisha kwa kila wala hawana complication
Me niliwahi kuhama kikazi kutoka Tabora kwenda Mwanza nilipiga hesabu kusafirisha kwa gari ikawa gharama kubwa amost 1M ila nilipakia vitu nikapeleka stesheni wakapima uzito nililipa 57,000 manake wanalipisha kwa kila wala hawana complication
Me niliwahi kuhama kikazi kutoka Tabora kwenda Mwanza nilipiga hesabu kusafirisha kwa gari ikawa gharama kubwa amost 1M ila nilipakia vitu nikapeleka stesheni wakapima uzito nililipa 57,000 manake wanalipisha kwa kila wala hawana complication