Naomba anayejua mahitaji ya ku-apply mkopo loan board

konrad

Member
Jun 10, 2015
84
12
Naomba anayejua vitu ambavyo vinahitajika katika kuomba mkopo mwaka wa masomo 2016/2017
Anisaidie jamani
 
Hivi shule mlienda kufanya nini? kama umeweza kulog in Jamii Forum kwa nini usiingie kwenye website ya Loan Board.?

Anyway , ngoja waje wakopeshwa walionufaika kipindi kilichopita.
 
Nimeomba kujua Bro siyo kwamba ndo iwe hivyo anyway asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…