Nani yupo nyuma ya hii Kampuni ya kitapeli Natures Way?

GEBA2013

JF-Expert Member
Feb 22, 2014
4,982
6,310
Imefika muda serikali iwe na huruma na wananchi wake. Vijana wanaotoka katika familia maskini ndiyo wamekuwa waathirika wakubwa wa haya makampuni ya kitapeli, na serikali imeshindwa kuwalinda dhidi ya hawa matapeli.

Kuna mtoto wa rafiki yangu ameitwa Tabora kufanya kazi na hiyo kampuni kwa ahadi ya kwamba watamlipa shilingi laki 3 na 75 elfu. Cha kushangaza, alipofika wakamwambia atoe 40,000 ya usajili. Akawa hana, ikambidi ampigie baba yake simu ampe hiyo kiasi. Babake akamtumia. Baadaye wakampigia, wakamwambia atoe 25,000 ya chumba na kiasi cha fedha kwa ajili ya uniform. Haikutosha, wakadai awatafute watu wawili au zaidi kwa ajili ya kujiunga na kampuni ili alipwe mshahara mzuri.

Tukamwuliza kama amelipwa mshahara na ana zaidi ya mwezi na nusu, anadai hajalipwa. Cha kushangaza, jana amepiga simu anadai apewe laki 6 aipe kampuni ili aajiriwe. Mzazi akapigiwa na boss wa hiyo kampuni, anadai apewe laki 6 ili kijana aajiriwe na kupanda daraja. Mzazi akasema hana, akawa anambembeleza apewe hata laki 3 awali na nyingine baadaye.

NANI YUKO NYUMA YA HAYA MAKAMPUNI?
 
Imefika muda serikali iwe na huruma na wananchi wake. Vijana wanaotoka katika familia maskini ndiyo wamekuwa waathirika wakubwa wa haya makampuni ya kitapeli, na serikali imeshindwa kuwalinda dhidi ya hawa matapeli.

Kuna mtoto wa rafiki yangu ameitwa Tabora kufanya kazi na hiyo kampuni kwa ahadi ya kwamba watamlipa shilingi laki 3 na 75 elfu. Cha kushangaza, alipofika wakamwambia atoe 40,000 ya usajili. Akawa hana, ikambidi ampigie baba yake simu ampe hiyo kiasi. Babake akamtumia. Baadaye wakampigia, wakamwambia atoe 25,000 ya chumba na kiasi cha fedha kwa ajili ya uniform. Haikutosha, wakadai awatafute watu wawili au zaidi kwa ajili ya kujiunga na kampuni ili alipwe mshahara mzuri.

Tukamwuliza kama amelipwa mshahara na ana zaidi ya mwezi na nusu, anadai hajalipwa. Cha kushangaza, jana amepiga simu anadai apewe laki 6 aipe kampuni ili aajiriwe. Mzazi akapigiwa na boss wa hiyo kampuni, anadai apewe laki 6 ili kijana aajiriwe na kupanda daraja. Mzazi akasema hana, akawa anambembeleza apewe hata laki 3 awali na nyingine baadaye.

NANI YUKO NYUMA YA HAYA MAKAMPUNI?
duh, huu kweli utapeli. hizo laki nyingi nyingi wangekuwa nazo si kijana angefanya hata biashara kuliko kuajiriwa?
kweli utawala uyaone haya na kuingilia kati.
 
Imefika muda serikali iwe na huruma na wananchi wake. Vijana wanaotoka katika familia maskini ndiyo wamekuwa waathirika wakubwa wa haya makampuni ya kitapeli, na serikali imeshindwa kuwalinda dhidi ya hawa matapeli.

Kuna mtoto wa rafiki yangu ameitwa Tabora kufanya kazi na hiyo kampuni kwa ahadi ya kwamba watamlipa shilingi laki 3 na 75 elfu. Cha kushangaza, alipofika wakamwambia atoe 40,000 ya usajili. Akawa hana, ikambidi ampigie baba yake simu ampe hiyo kiasi. Babake akamtumia. Baadaye wakampigia, wakamwambia atoe 25,000 ya chumba na kiasi cha fedha kwa ajili ya uniform. Haikutosha, wakadai awatafute watu wawili au zaidi kwa ajili ya kujiunga na kampuni ili alipwe mshahara mzuri.

Tukamwuliza kama amelipwa mshahara na ana zaidi ya mwezi na nusu, anadai hajalipwa. Cha kushangaza, jana amepiga simu anadai apewe laki 6 aipe kampuni ili aajiriwe. Mzazi akapigiwa na boss wa hiyo kampuni, anadai apewe laki 6 ili kijana aajiriwe na kupanda daraja. Mzazi akasema hana, akawa anambembeleza apewe hata laki 3 awali na nyingine baadaye.

NANI YUKO NYUMA YA HAYA MAKAMPUNI?
Kunazidi kuchangamka.. Kama wa Tz wameweza kua ma hucker mpaka kwenye WHAT'S UP.

Soon tutakua Kama Nigeria yaan PHD holder ni shoe shine 😊
 
Imefika muda serikali iwe na huruma na wananchi wake. Vijana wanaotoka katika familia maskini ndiyo wamekuwa waathirika wakubwa wa haya makampuni ya kitapeli, na serikali imeshindwa kuwalinda dhidi ya hawa matapeli.

Kuna mtoto wa rafiki yangu ameitwa Tabora kufanya kazi na hiyo kampuni kwa ahadi ya kwamba watamlipa shilingi laki 3 na 75 elfu. Cha kushangaza, alipofika wakamwambia atoe 40,000 ya usajili. Akawa hana, ikambidi ampigie baba yake simu ampe hiyo kiasi. Babake akamtumia. Baadaye wakampigia, wakamwambia atoe 25,000 ya chumba na kiasi cha fedha kwa ajili ya uniform. Haikutosha, wakadai awatafute watu wawili au zaidi kwa ajili ya kujiunga na kampuni ili alipwe mshahara mzuri.

Tukamwuliza kama amelipwa mshahara na ana zaidi ya mwezi na nusu, anadai hajalipwa. Cha kushangaza, jana amepiga simu anadai apewe laki 6 aipe kampuni ili aajiriwe. Mzazi akapigiwa na boss wa hiyo kampuni, anadai apewe laki 6 ili kijana aajiriwe na kupanda daraja. Mzazi akasema hana, akawa anambembeleza apewe hata laki 3 awali na nyingine baadaye.

NANI YUKO NYUMA YA HAYA MAKAMPUNI?
Ukitaka kuwatapeli wabongo jina lichanganye na kingereza
 
Kwa taarifa nilizopata wamefungia ndani vijana kwenye jengo la nyanza investment hall mtaa wa nyanza tabora mjini wawapigie wazmtaazi wao simu ili wawatumie pesa.NAOMBA UONGOZI WA JF WAWEKE HI THREAD KM DOKEZO ILI UONGOZI WA SERIKALI HAPO TABORA UPATE HI TAARIFA NAKUFANYIA KAZI
 
Imefika muda serikali iwe na huruma na wananchi wake. Vijana wanaotoka katika familia maskini ndiyo wamekuwa waathirika wakubwa wa haya makampuni ya kitapeli, na serikali imeshindwa kuwalinda dhidi ya hawa matapeli.

Kuna mtoto wa rafiki yangu ameitwa Tabora kufanya kazi na hiyo kampuni kwa ahadi ya kwamba watamlipa shilingi laki 3 na 75 elfu. Cha kushangaza, alipofika wakamwambia atoe 40,000 ya usajili. Akawa hana, ikambidi ampigie baba yake simu ampe hiyo kiasi. Babake akamtumia. Baadaye wakampigia, wakamwambia atoe 25,000 ya chumba na kiasi cha fedha kwa ajili ya uniform. Haikutosha, wakadai awatafute watu wawili au zaidi kwa ajili ya kujiunga na kampuni ili alipwe mshahara mzuri.

Tukamwuliza kama amelipwa mshahara na ana zaidi ya mwezi na nusu, anadai hajalipwa. Cha kushangaza, jana amepiga simu anadai apewe laki 6 aipe kampuni ili aajiriwe. Mzazi akapigiwa na boss wa hiyo kampuni, anadai apewe laki 6 ili kijana aajiriwe na kupanda daraja. Mzazi akasema hana, akawa anambembeleza apewe hata laki 3 awali na nyingine baadaye.

NANI YUKO NYUMA YA HAYA MAKAMPUNI?
Piganeni muondoe huu utawala wa kifisadi jombi la sivyo mtageuzwa kama samaki. Ohooo. Dunia hii hakuna vya bure. Unaitiwa ajira halafu unaambiwa utowe fedha na wewe unatowa!
 
Back
Top Bottom