Nampongeza Spika Tulia Akson kwa msimamo wake dhid ya wabaya wa Bashe. Tuliona huko nyuma Lowassa akisungiziwa kwa maneno kama ya Mpina

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Jul 3, 2017
3,234
9,579
Life goes on wakuu, mwaka 2008 aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania Edward Lowassa aliundiwa zengwe lililopelekea kujihuzuru kwake. Alichokifanya Lowassa lilikuwa ni jambo jema lakini lililopelekea watanzania kukosa huduma ya kiongozi jasiri na shupavu.

Kimsingi matatizo yote yanayotukabiri Leo yanatokana na kitendo cha Spika wa wakati huo Samweli Sitta kuruhusu wahuni waliookuwa nyuma ya njama za kumkwamisha Lowassa kutekeleza majukumu yake. Leo tena wameibuka watu wenye hila kama ya Mwakiembe dhidi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe.

Watu hao wanatamani mkulima aendelee kuteseka na kuwa mtumwa na Wala hawana huruma na maisha ya watanzania kwani Mbolea ya ruzuku kwao hawataki itolewe, hawataki ruzuku ya serikali iwekwe kwenye sukari ili hali hawataki kulima. Mheshimiwa Spika nampongeza kwa kukataa wahuni kumlisha maneno.

Ushauri. Wote walio nyuma ya Mpina watafutwe na washughulikiwe kwa kutaka kuleta fujo ndani ya bunge.
 
Mods naomba muedit heading isomeke akisingiziwa na Uzi upelekwe jukwaa la siasa. Paw
 
life goes on wakuu, mwaka 2008 aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania Edward Lowassa aliundiwa zengwe lililopelekea kujihuzuru kwake. Alichokifanya Lowassa lilikuwa ni jambo jema lakini lililopelekea watanzania kukosa huduma ya kiongozi jasiri na shupavu. Kimsingi matatizo yote yanayotukabiri Leo yanatokana na kitendo cha Spika wa wakati huo Samweli sitta kuruhusu wahuni waliookuwa nyuma ya njama za kumkwamisha Lowassa kutekeleza majukumu yake. Leo tena wameibuka watu wenye hila kama ya Mwakiembe dhidi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe. Watu hao wanatamani mkulima aendelee kuteseka na kuwa mtumwa na Wala hawana huruma na maisha ya watanzania kwani Mbolea ya ruzuku kwao hawataki itolewe, hawataki ruzuku ya serikali iwekwe kwenye sukari ili hali hawataki kulima. Mheshimiwa Spika nampongeza kwa kukataa wahuni kumlisha maneno.

Ushauri. Wote walio nyuma ya Mpina watafutwe na washughurikiwe kwa kutaka kuleta fujo ndani ya bunge.
So ni mwendo wa kuongoza nchi kwa hisia si kwa ushahidi. Jamaa aliombwa ushahidi kauleta lakini sasa hamtaki kuuona. Uzuri hata hamjaupinga, maana bila shaka hamuwezi kuupinga. Sasa mnapongezana kwa hisia oooh vile ooh vile.
Facts and evidence. Jamaa kawapa mpaka tarehe, mpaka reference za Brela, hapa mnatapatatapa tu
 
life goes on wakuu, mwaka 2008 aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania Edward Lowassa aliundiwa zengwe lililopelekea kujihuzuru kwake. Alichokifanya Lowassa lilikuwa ni jambo jema lakini lililopelekea watanzania kukosa huduma ya kiongozi jasiri na shupavu. Kimsingi matatizo yote yanayotukabiri Leo yanatokana na kitendo cha Spika wa wakati huo Samweli sitta kuruhusu wahuni waliookuwa nyuma ya njama za kumkwamisha Lowassa kutekeleza majukumu yake. Leo tena wameibuka watu wenye hila kama ya Mwakiembe dhidi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe. Watu hao wanatamani mkulima aendelee kuteseka na kuwa mtumwa na Wala hawana huruma na maisha ya watanzania kwani Mbolea ya ruzuku kwao hawataki itolewe, hawataki ruzuku ya serikali iwekwe kwenye sukari ili hali hawataki kulima. Mheshimiwa Spika nampongeza kwa kukataa wahuni kumlisha maneno.

Ushauri. Wote walio nyuma ya Mpina watafutwe na washughurikiwe kwa kutaka kuleta fujo ndani ya bunge.
Umekula? Hapo utakuta Wazazi wako wana life gumu sana kule kijjini wewe unajitoa ufahamu humu
 
life goes on wakuu, mwaka 2008 aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania Edward Lowassa aliundiwa zengwe lililopelekea kujihuzuru kwake. Alichokifanya Lowassa lilikuwa ni jambo jema lakini lililopelekea watanzania kukosa huduma ya kiongozi jasiri na shupavu. Kimsingi matatizo yote yanayotukabiri Leo yanatokana na kitendo cha Spika wa wakati huo Samweli sitta kuruhusu wahuni waliookuwa nyuma ya njama za kumkwamisha Lowassa kutekeleza majukumu yake. Leo tena wameibuka watu wenye hila kama ya Mwakiembe dhidi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe. Watu hao wanatamani mkulima aendelee kuteseka na kuwa mtumwa na Wala hawana huruma na maisha ya watanzania kwani Mbolea ya ruzuku kwao hawataki itolewe, hawataki ruzuku ya serikali iwekwe kwenye sukari ili hali hawataki kulima. Mheshimiwa Spika nampongeza kwa kukataa wahuni kumlisha maneno.

Ushauri. Wote walio nyuma ya Mpina watafutwe na washughurikiwe kwa kutaka kuleta fujo ndani ya bunge.
Unaandika haya ukiwa chimwaga au Lumumba?
 
life goes on wakuu, mwaka 2008 aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania Edward Lowassa aliundiwa zengwe lililopelekea kujihuzuru kwake. Alichokifanya Lowassa lilikuwa ni jambo jema lakini lililopelekea watanzania kukosa huduma ya kiongozi jasiri na shupavu. Kimsingi matatizo yote yanayotukabiri Leo yanatokana na kitendo cha Spika wa wakati huo Samweli sitta kuruhusu wahuni waliookuwa nyuma ya njama za kumkwamisha Lowassa kutekeleza majukumu yake. Leo tena wameibuka watu wenye hila kama ya Mwakiembe dhidi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe. Watu hao wanatamani mkulima aendelee kuteseka na kuwa mtumwa na Wala hawana huruma na maisha ya watanzania kwani Mbolea ya ruzuku kwao hawataki itolewe, hawataki ruzuku ya serikali iwekwe kwenye sukari ili hali hawataki kulima. Mheshimiwa Spika nampongeza kwa kukataa wahuni kumlisha maneno.

Ushauri. Wote walio nyuma ya Mpina watafutwe na washughurikiwe kwa kutaka kuleta fujo ndani ya bunge.
Tatizo la mbogamboga mnapenda sana kuonewa huruma na wananchi wakati nyie hamna hata huruma nao.Ametoa ushahidi mliotaka,undeni Tume ichunguze ,acheni kuongea kihisia hisia
 
Hoja yako ni ya kijinga, lakini nikataka kujiridhisha zaidi na ujinga wako kwa kusoma maelezo yako, nilipokuta umetumia maneno kama "ushahuri" badala ya ushauri, na "washughurikiwe" badala ya washughulikiwe, nikazidi kujiridhisha wewe ni mjinga ndio maana unampiga vita Mpina.
 
life goes on wakuu, mwaka 2008 aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania Edward Lowassa aliundiwa zengwe lililopelekea kujihuzuru kwake. Alichokifanya Lowassa lilikuwa ni jambo jema lakini lililopelekea watanzania kukosa huduma ya kiongozi jasiri na shupavu. Kimsingi matatizo yote yanayotukabiri Leo yanatokana na kitendo cha Spika wa wakati huo Samweli sitta kuruhusu wahuni waliookuwa nyuma ya njama za kumkwamisha Lowassa kutekeleza majukumu yake. Leo tena wameibuka watu wenye hila kama ya Mwakiembe dhidi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe. Watu hao wanatamani mkulima aendelee kuteseka na kuwa mtumwa na Wala hawana huruma na maisha ya watanzania kwani Mbolea ya ruzuku kwao hawataki itolewe, hawataki ruzuku ya serikali iwekwe kwenye sukari ili hali hawataki kulima. Mheshimiwa Spika nampongeza kwa kukataa wahuni kumlisha maneno.

Ushauri. Wote walio nyuma ya Mpina watafutwe na washughurikiwe kwa kutaka kuleta fujo ndani ya bunge.
Ili kumsaidia Spika kufanya uamuzi sahihi unachopaswa kufanya sio hiki ulichofanya Bali ungejibu hoja za Mpina moja baada ya nyingine.

Nashangaa mpaka sasa hakuna anaejibh hoja Bali zinaletwa story tofauti kabisa na hoja.

Kutokujibu hoja na kubaki kumshambulia Mpina na kuja na story nyingi kunaonyesha alichosema Mpina ni kweli.

Kwahivyo swali ambalo utujibu hoja za Mpina ni kweli au si kweli?
Kama si kweli unaweka sasa ushahidi ili huyu Mpina tumpinge kwa pamoja kwa kutudanganya.

CCM lazima ijitenge na maovu na ufisadi wa mtu mmojammoja usionekane wachama Bali wake muhusika.

Kwamba inayotoa ruzuku ya mbolea sio serikali ni waziri wa wizara husika? Anatoa wapi fedha hizo?
 
Life goes on wakuu, mwaka 2008 aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania Edward Lowassa aliundiwa zengwe lililopelekea kujihuzuru kwake. Alichokifanya Lowassa lilikuwa ni jambo jema lakini lililopelekea watanzania kukosa huduma ya kiongozi jasiri na shupavu.

Kimsingi matatizo yote yanayotukabiri Leo yanatokana na kitendo cha Spika wa wakati huo Samweli Sitta kuruhusu wahuni waliookuwa nyuma ya njama za kumkwamisha Lowassa kutekeleza majukumu yake. Leo tena wameibuka watu wenye hila kama ya Mwakiembe dhidi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe.

Watu hao wanatamani mkulima aendelee kuteseka na kuwa mtumwa na Wala hawana huruma na maisha ya watanzania kwani Mbolea ya ruzuku kwao hawataki itolewe, hawataki ruzuku ya serikali iwekwe kwenye sukari ili hali hawataki kulima. Mheshimiwa Spika nampongeza kwa kukataa wahuni kumlisha maneno.

Ushauri. Wote walio nyuma ya Mpina watafutwe na washughulikiwe kwa kutaka kuleta fujo ndani ya bunge.
Ficha upumbavu wako hata kwa muda kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom